Fredmaty Zach.
Member
- Jul 26, 2012
- 51
- 6
kwa kawaida mapenz kabla ya ndoa yanapaswa yachukue muda gan then muingie ktk ndoa? nina girlfriend wangu kwa miezi miwili sasa lakin anahitaji tuish pamoja ni kwel nampenda lakin cjawa na sababu za kuoa. rafiki niokoe kwa mawazo yako.