Atoe kadiri ya anavyojiskia kumpaKama mwanaume anapata take home ya 1.2M, anatakiwa kutoa shilingi ngapi kwa girlfriend wake kama girlfriend allowance?
Na kwa anayepata take home ya 3.5m anatakiwa kunywa safari ndogo ngapi kwa mwezi?.Kama mwanaume anapata take home ya 1.2M, anatakiwa kutoa shilingi ngapi kwa girlfriend wake kama girlfriend allowance?
😂😂😂😂😂😂Na kwa anayepata take home ya 3.5m anatakiwa kunywa safari ndogo ngapi kwa mwezi?.
Kunywa biya wewe!😂😂😂😂😂😂
Mpe bebe hela wewe
Angalia bei ya K ikoje sokoni then mthaminishe huyo ulienae. Ukisha jua huyu angekuwa anauza k angeiuza kiasi fulani then mpe pesa kutokana na unaipiga kwa muda ganiKama mwanaume anapata take home ya 1.2M, anatakiwa kutoa shilingi ngapi kwa girlfriend wake kama girlfriend allowance?
Haswaaa.Mpe yote, hayo ndo mapenzi na ndo uanaume
😂😂😂😂😂Penzi jipya linakuwasha ww sio bure