Yaani hadi inaboa humu jukwaani kumejaa tcu tcu tcu tcu utafikiri kunawakala wa tcu humu,basi kiwe cha maana yaleyale kila siku hayana mbele wala nyuma ni ukosefu tu wa uvumilivu.
hili ni jukwaa la elimu,, mtu anaweza kuuliza chochote kuhusu elimu. Cyo m2 anauliza mnamjibu kuwa tcu wana website yao cyo huku, basi mngeainisha vi2 ambavyo m2 anaweza kuuliza kuhusu elimu! Au mtoe kabisa jukwaa la elimu lisiwepo?
Wewe mnoel na wenzio mliposikia jamiiforums kuna matokeo ya Udsm sasa mmegeuka wasumbufu. Uyo mwenzio hajaona hayo majina humu? Mbona kuna mdau aliyaweka tena jana. Tatizo hamsomi thread zilizopita mnaishia kulalama tu.
Hili jukwaa halikuzoea thread uchwala kama ya huyo shost wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.