Hilo 'tatizo lake pekee' ulilolitaja tayari linamuondolea hiyo class unayompa.Mkuu don't try to underestimate him.. He is a classic guy, I know him in personal.. Tatizo lake pekee ni kuutaka ustar kwa nguvu na kuwaona mastar kama miungu watu hivi..
Fafafafafaf daaah watu wengine nimewashindwaNi mzuri yule mke wake?mbona ana kichwa kama tofali? Ama mzuri zaidi yako,?
Mkewe ana mshepu natural.Maskini kumbe mke wake ni mrembo hivi daah jamaa kazingua kinyama kwa lile kahaba
chapombe kuwa na adabu na dini za watu ndo maana mkeo alikuacha kwa ajili ya mgambiahivi wapi alionekana akila tunda?yule kapapasa tu hiyo inaruhusiwa hata na mtume
Kwa nini mkuu..?Utakuwa mgeni mjini
Sio habari tenaKwa nini mkuu..?
utakuwa unaishi kijijiniLeo ni siku ya kilele cha Mahakama Tanzania, jumuhiya, wadau wa tasnia ya Sheria nchini waadhimisha week ya mahakama.
Mwanasheria au wakili (msomi) Albert Msando kaharibu kama si kujishushia hadhi na kuwadhalilisha mawakili wenzake na jamii kwa ujumla.
Acha sinema hii ijieleze hapa 👇 ...
View attachment 1348276
Kwa nini mkuu..?
Kweli mkuu ila kitu ninachooanisha hapo ni tukio lake na siku ya leo, twende pamoja.Sio habari tena
Huyo unaemsifia na ndoa ya maana unajua ndoa yenyewe ilishavunjika na mvunjaji ni huyo huyo anaeongelewa hapa?mwasu kulikuwa na demu mmoja apo udsm alikuwaga anatoka na beto, jaman yule mdada ni kama vile Mungu alimtapika kutoka kwenye kinywa cha haya maumivu.
hope Tina unaenjoy maisha yako ya ndoa, na haya maumivu yamekupita. Mungu azidi kukutunza na ndoa yako.
Jack mdogo wangu umefika wakati sasa wa kutulia chini uanze kusali sana Mungu aokoe ndoa yako. tayari una mtoto mzuri handsome wa nguvu. usitake huyu shetani amfanye achukie kuzaliwa na nyie. kama mama unaweza kufanya jambo. piga goti sali sana ombea ile neema ya wokovu ije nyumbani kwako.
Sifa ya mtu alie ktk ndoa lazima ajiheshimu Msando kama kafanya hayo awezi kua baba bora!Alafu mwanamke mwenyewe amfikii mkewe kwa uzuri GIGY sio mwadamu ni jini mtaka damuHuyu Msando si kaoa jamani? Uchafu gani huu?
Kiukweli hapa tu ndipo huwa nshindwa kuwaelewa wanawake wenzangu. Mwanaume pamoja na uchafu huu bado atakuwa proud nae! Dah
AISEE NIMEPENDA SANA HAKO KA SAUNDI TRAKILeo ni siku ya kilele cha Mahakama Tanzania, jumuhiya, wadau wa tasnia ya Sheria nchini waadhimisha week ya mahakama.
Mwanasheria au wakili (msomi) Albert Msando kaharibu kama si kujishushia hadhi na kuwadhalilisha mawakili wenzake na jamii kwa ujumla.
Acha sinema hii ijieleze hapa 👇 ...
View attachment 1348276
...Dah!... kudadadeki!! 🤫🤫🤫Kuna waheshimiwa tena above 60s ambao wanapenda threesome,foursome na orgy balaa. Watoto wa CBE,IRDP,UDOM,SJUIT & LGTI - Hombolo wanalijua hili. Kuna mlupo wangu enzi za 1999 alimblackmail mhe. mmoja kwa video ya foursome,akalamba 10 Mil by then,now yupo SA anafanya biashara zake huko.