MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,584
- 30,053
Mnapo kuwa mnalalamikaHaya madudu aliyafanya nani? Maana hata majipu yatumbuliwe mchana na usiku bila ya kushughulika na walioyasababisha ni ujiga mtupu. Kama mradi unaanza na hakukamiliki kwa wakati na hakuna wa kuchukuliwa hatua, basi ni lazima tutapokonywa kila kitu na Majirani zetu!!
Mnapaswa pia mfanye kujiuliza katika vichwa vyenu
Hayo malalamiko yenu yana stahili kweli
Rais ndio kwanza ana miazi 3
Kwa Akili yenu ya kipumbavu
Mnadhani kipindi hicho
Anaweza kuizungukia kila sekta na kuyatumbua majipu hayo!
Minapenda kuwa ambia
Awamu hii mjitahidi kuchuja kubeza kwenu
Mtajiaibisha tu
Sio kila jambo lazima mbeze