Tengeneza circle yako , circle ya watu ambao watakuwa ni wepesi kuelewa hisia zako na Ambition zakoSasa mfano umetokomea huko umerudi unakuta wale uliokuwa ukiwa-'ghost' hawakuhitaji tena. Itakuwaje?
Naona kama lengo la kuwa ghost ni kuja kuwatambia watu kimtindo.
Kabisa 📌🎯🎯
Hao watu walikuwa wanazuia mafanikio yako kivipi mpaka uamue kuwatenga? Nashindwa kuelewa...It’s for personal development, sidhani kama unarudi kuwatambia. Kurudi ni reconnect.
Kama hawakuhitaji pia ni sawa, probably walikuwa hawakuhitaji toka mwanzo.
Kwenye maisha ya mwanaume kuna wakati unafika hauna girlfriend, hauna mchepuko, una marafiki wachache sana au hauna marafiki kabisa. Maisha yako ni wewe tu mapambano yako ya kujitafuta. Hicho kipindi kinaitwa Ghost phase. Ni nyakati ambazo zimewatengeneza wavulana kuwa wanaume.
Kama bado huu kijana unaepambana kutengeneza maisha yako especially kama upo 20's mpaka early 30's. Basi unahitaji kuapply ghost mode.
Zifuatazo ni dondoo muhimu za ghost mode.
1.Kubaliana na ukimya.
Siku za kwanza za ghost mode zitakua ngumu kidogo. Hakuna anaekutext, kupigia wala kukujulia hali. Hata kwenye group whatsapp hakuna charts. Waliokua wanacheka memes zako wote kimya, hapa ndipo unagundua ulikua burudani tu kwa watu wakiwa bored. Ukimya unaweza kukuumiza lakini ni dawa itakayokunyesha wewe ni nani wakati hakuna anaekuangalia.
2.Tengeza mkakati wa kivita.
Haupo hapo ghost mode ili ushinde unacheza play station au unaangalia movie tu geto. Unaingia ghost mode kujitengeneza upya, kwaiyo unahitaji mkakati.
-una vision gani
-una mission gani
-mambo gani uyaache
-mambo gani uanze kuyafanyia kazi n.k
Tengeneza mkakati wako kama mkuu wa majeshi anaejiandaa na vita
3.Fitness ya mwili wako iwe kipaumbele.
Kimbia, kama uwezo unaruhusu nenda gym, kama ball linapanda nenda ground kazungushe. Kunywa maji ya kutosha. Kuwa makini na uchokula, junk food na soda achana nazo. Pata muda wa kutosha kulala n.k
4.Achana na mahusiano.
Kubaliana na ukweli kwamba kwenye ghost phase wanawake ni liability. Block out the lust, mute the flirts. Stop chasing cheeks and start chasing your dreams. You're a man on mission, stop simping. Build up and when you return you won't chase. They will apply and not all will be approved.
5.Tengeneza ujuzi na pesa kimya kimya.
Jifunze coding, mauzo, elimu ya fedha, uwekezaji au kitu chochote kitakachokutengenezea hela. Tafuta hela na ufanye hivyo kimya bila kelele. No post, no flex. Just deposits.
6.Jifunze kila siku.
Chochote unachoamua kukifanya akikisha kila siku unajifunza kitu kipya. Sikiliza mijadala inatayokufanya ujione mjinga, hiyo ndio mijadala itakayokukomaza akili. Unplug yourself from tiktok and gossip. By the end of ghost mode no woman, no enemy, no situation will break your peace.
7.Achana na drama za kijinga.
No online beef, no arguing with boys, no gossip no cloud chasing. Drama is cheap, your vision is expensive.
COME BACK
Ex wako atawaambia watu ulikuaga boyfriend wake, haters watajifanya hawakuwai kutilia mashaka uwezo wako, marafiki wa zamani watakutext "kaka ulipotea". Don't explain, don't flex, don't post photos of your glow up. You owe no one approve.
Cut distractions and focusing on yourself. No drama, no noise just relentless work on your goals. That phase sets up biggest comebacks and lasting success.
Don’t be a simp.
Ila hii concept ya ukifanikiwa usianze kusaidia watu sijaielewa kabisa, labda kama inamaelezo zaidi.
Kwani siusome comment aliyo ijibu ilikuwa na maudhui Gani !Ila hii concept ya ukifanikiwa usianze kusaidia watu sijaielewa kabisa, labda kama inamaelezo zaidi.
😅😅Nikiwa hiko kipindi nikakutana na ghost aunt...
Yaani ni full misuguano afu kwa sasa kuna huyu ghost aunt nae anafagilia sana harakati anataka anipeleke south africa
Kuna mambo ambayo kuyafanya yanakuwia vigumu ukiwa kwenye circke yako, mfano umesoma mpaka degree halafu ajira haujapata. Akitokea mtu akakwambia fanya kazi yoyote inakua ngumu kidogo kumuelewa kwa sababu ya ile expectation ambayo jamii inakua nayo juu yako kama msomi. Lakini ukiamua kuondoka mahali unapoishi na kwenda sehemu ambapo hakuna anaekujua ni rahisi kufanya kufanyia kazi huo ushauri wa "fanya kazi yoyote"Hao watu walikuwa wanazuia mafanikio yako kivipi mpaka uamue kuwatenga? Nashindwa kuelewa...
hearlyIla hii concept ya ukifanikiwa usianze kusaidia watu sijaielewa kabisa, labda kama inamaelezo zaidi.
I feel you
Nimepitia hiyo situation Kmmk
Nimewabeba watu Nika wanyanyua wakaja wakakaa sawa kimaisha then hao hao ndio wana niattack like I have done nothing niliuza roho yangu ili watu wote tufanikiwe kumbe I was mistake myself,
Haya mambo ya kuwabeba beba watu Haya nimejifunza nikitu kibaya sana it will ruin your career, halafu hao hao mwisho wa siku wana kucheka , now i have lean a lesson,, Never going back again ni mbele Kwa mbele tu , Kila mtu apambane kivyake
Na vipi kama kuna fursa nzuri hapo unapoishi. Utaiacha kwa kuogopa watu?Kuna mambo ambayo kuyafanya yanakuwia vigumu ukiwa kwenye circke yako, mfano umesoma mpaka degree halafu ajira haujapata. Akitokea mtu akakwambia fanya kazi yoyote inakua ngumu kidogo kumuelewa kwa sababu ya ile expectation ambayo jamii inakua nayo juu yako kama msomi. Lakini ukiamua kuondoka mahali unapoishi na kwenda sehemu ambapo hakuna anaekujua ni rahisi kufanya kufanyia kazi huo ushauri wa "fanya kazi yoyote"
Na vipi kuhusu usalama wako !? Fursa inaweza kuwa nzuri lakini usalama hakuna , Utachagua kipi kwanza !?Na vipi kama kuna fursa nzuri hapo unapoishi. Utaiacha kwa kuogopa watu?
Nimetolea mfano lakini sio kila situation inahitaji kuama sehemu ulipo. Msingi wa ghost mode ni kukata distractions ambazo unaona kuna namna zinazuia au zinachelewesha mafanikio yako, na hizi distractions sio watu tu hata ratiba, behaviors, habbit nazo zinaweza kuwa distributions. Ukisema uache ulevi automatically utawa-ghost unaokutana nao bar mara kwa maraNa vipi kama kuna fursa nzuri hapo unapoishi. Utaiacha kwa kuogopa watu?
Uzoefu unamfanya mtu kuwa na busara, kwaiyo hakuna ubaya ukawaelekeza mapema uliowatangulia yale mambo ambayo wewe ulichelewa kujifunza.Tupunguze ushauri Maishani kila mtu anaishi maisha mapya kila siku
Hakuna legend wa Maisha
Mimi sio msoto tu mimi hata likitokea suala ambalo linavuluga ratiba zangu huwa naghadhibika sana, na nikiwa katika hali iyo solution yangu ni ghost mode mfano kama nipo home siongei na yoyote. Nawasha tv natulia tu naangalia mpira, na ghadhabu niliyokua nayo inaondoka taratibu mpaka nakua sawa.Yeah inasaidia sana Mimi ninao hiyo wisdom Huwa nikipitia msoto mkali Huwa najitenga kabisa hata social network Huwa sitaki kutumia Huwa nataka kupambana na maisha like die hard Ile Ile, mitandao Huwa naona inanifanya nipoteze concentration pia Huwa napunguza circle ya watu kabisaaa Huwa nabaki na watu wachache and hiyo plan Huwa inanifanya niibuke mshindi
Yeah binaadamu tuna tofautiana sana character zetuMimi sio msoto tu mimi hata likitokea suala ambalo linavuluga ratiba zangu huwa naghadhibika sana, na nikiwa katika hali iyo solution yangu ni ghost mode mfano kama nipo home siongei na yoyote. Nawasha tv natulia tu naangalia mpira, na ghadhabu niliyokua nayo inaondoka taratibu mpaka nakua sawa.