Mtu mbalimbali
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 887
- 1,633
Shukrani kiongozi,
Naeza kuitumia kwenye PC directly au natakiwa kufanya other installations?
Shukrani kiongozi,
Ndio ni directlyShukrani kiongozi,
Naeza kuitumia kwenye PC directly au natakiwa kufanya other installations?
Kabisa gamer for lifeUzi wa wanaume tunaogemuka tu
Installation mzee hiyo dodi repack Lisaa tu au masaa mawili imemaliza unakula maisha kikubwa umeet minimum requirementShukrani kiongozi,
Naeza kuitumia kwenye PC directly au natakiwa kufanya other installations?
😆😆😆 Sekiro nimecheza ile gemi ni ngumu asee haitaji hasiraCheza na SEKIRO:Shadow die twice. Ukiiwez hii game bas utamrahisishia kaz JIN SAKAI
GTX 1050 ndio ya zamani ila powerfully mzee napata quality nzuri nacheza mpaka 1080p mzeeGTX 1050? Mkuu unatumia Graphics card ya zamani kinoma, unapata frame rate za kutosha kweli ku enjoy hio game Max settings
Hapana hayo sijachezaGame Kali sana Hilo mkuu vipi ushacheza na magemu haya
Destiny
Half life 2
Hio game kwenye 1050 inacheza vizuri kweliiWakuu kwema poleni mihangaiko ya kutafuta ugali wetu wa Kila siku
Basi Nimepata Kalikizo nkaona isiwe kesi Wacha nivute game nicheze kwenye laptop yangu (gaming PC GTX 1050)
Nikaweka uncharted ,na game nyingine nyingi tu ikiwemo ghost of Tsushima ila Bado sijaona game Kali kuzidi hili ghost upande asian game katana game ni very realistic haswa
Hivyo kama wewe ni mdau wa gaming basi hili game usilikose
Hizi mbona za zamaniGame Kali sana Hilo mkuu vipi ushacheza na magemu haya
Destiny
Half life 2
Sio yote labda Hilo half life vipi ushawahi kulicheza Hilo game?Hizi mbona za zamani
Hi aisee ngoja this week nilivute,natamani sanaUsisahau kucheza na THE LAST OF US PT 2
Nimehangaika nayo sana, nikapotezea. Sema nitairudia.Cheza na SEKIRO:Shadow die twice. Ukiiwez hii game bas utamrahisishia kaz JIN SAKAI
Kwanini isicheze mzeeHio game kwenye 1050 inacheza vizuri kwelii