ormystatus
Member
- Nov 3, 2019
- 89
- 176
Appreciate tu walichofanya Wakenya buda, sisi bado ni malimbukeni wa haya mambo tutasema ni matumizi mabaya ya fedha.View attachment 1291471
Ushamba unawasumbua ndio maana mnashangaa. Hapo katika ghorofa la Burji al Khalifa ni jengo la kitalii kwahivo karibu nchi zote huwekwa picha za bendera za nchi zao kama unavojua Dubai ndio kioo cha utalii duniani hivi sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani limbukeni ni wewe hapo, bendera kuonekana dk 3 kuna faida gani hapo.Appreciate tu walichofanya Wakenya buda, sisi bado ni malimbukeni wa haya mambo tutasema ni matumizi mabaya ya fedha.
ππ, Go back to school and you'll know it's benefitsNadhani limbukeni ni wewe hapo, bendera kuonekana dk 3 kuna faida gani hapo.
Punguza kutumia makwapa kufikiria, yaani hadi mtu ambaye hajaenda shule anaweza kungamua na kuona hakuna faida yoyote hapo,ππ, rudi shule utaelewa faida yake!
hela anazo?
hata wangeweka picha ya Mlima Kilimanjaro iliyochukuliwa vizuri na maridadi kutoka Amboseli National Park pia bado ungelia tu na kusema hamjatendewa hakiPunguza kutumia makwapa kufikiria, yaani hadi mtu ambaye hajaenda shule anaweza kungamua na kuona hakuna faida yoyote hapo,
At least wangeweka labda kivutio chochote cha utalii lakini bendera tu πππ
Kwwli wewe ni mbulula zaidi ya makonda yani wewe unaona hapo hamna faida yoyote itakayoipata kenya??Punguza kutumia makwapa kufikiria, yaani hadi mtu ambaye hajaenda shule anaweza kungamua na kuona hakuna faida yoyote hapo,
At least wangeweka labda kivutio chochote cha utalii lakini bendera tu πππ
Ikawekwe ili iwejehata wangeweka picha ya Mlima Kilimanjaro iliyochukuliwa vizuri na maridadi kutoka Amboseli National Park pia bado ungelia tu na kusema hamjatendewa haki
Yaani unaweka tu bendera kwa dadika 3 bila kuandika chochote alafu unasema kuna faida πππKwwli wewe ni mbulula zaidi ya makonda yani wewe unaona hapo hamna faida yoyote itakayoipata kenya??
Nikuulize wewe uliyeniquotejiulize
Hata mtu ambaye hajaenda shule anaweza kungamua na kuona kilichofanyika hapo hakina faida yoyote.
Watapewa food donation soon na saudiaImesaidia nini kenya?
Hiyo ilikuwa kenya tuu bro,Google pia walikuwa na 'doodle' ya bendera ya Kenya kwenye homepage yao hiyo jana. Kisha wakatoa maelezo kidogo kuhusu maana ya neno Jamhuri. Kiswahili tutaendelea kukieneza tu, hata kama jamaa wa domo domo hawatapendezwa.
Najua alidhani ni dunia nzima πππHiyo ilikuwa kenya tuu bro,
Ujinga mwingine wa majirani zetu...Usiku wa jana wa Disemba 12, wakenya wengi hawakuamini macho yao pale walipoweza kuona bendera ya taifa lao iki angaza kwa dakika tatu kwenye ghorofa refu zaidi duniani lililopo Dubai, Burj Khalifa katika maadhimisho ya Jamhuri Day. Jumla ya rangi nne za bendera ya Kenya ziliweza kushuhudiwa kwenye ghorofa hilo ambazo ni Nyekundu, Nyeupe, Nyeusi na Kijani.
Kenya imekuwa ikisherehekea sikuku ya Uhuru wa taifa hilo kila ifikapo Disemba 12, ambapo kwa hapo jana iliadhimisha miaka 56.
Inadaiwa gharama ya kurusha tangazo kwa dakika tatu (3), Burj Khalifa inafika Shilingi milioni 156 za Kitanzania.
Hata hivyo haijawekwa wazi kama Kenya ililipia tukio hilo. Inadaiwa ndani ya dakika tatu (3) itakugharimu kiasi cha Shilingi milioni 156 za Kitanzania ili tangazo lako kuonekana kwenye ghorofa hilo refu zaidi duniani kuanzia muda wa saa 2:00 usiku hadi 4:00 wakati wa wikiendi.
Na katikati ya wiki inafikia milioni 292, kama tangazo lako litaonekana ndani ya dakika tatu pekee. Hivyo ukitaka tangazo lako lionekana lazima uhakikishe umejipanga.
View attachment 1291469
Sent using Jamii Forums mobile app