Zuwenna
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 2,037
- 3,320
Umemjua leo ndio maanaHuyo hanitiishii ata chembe
huyo Niwakuacha pole sana
Umemjua leo ndio maanaHuyo hanitiishii ata chembe
MOTOCHINI was last seen: Today at 10:57 AMHuyo hanitiishii ata chembe
Hapana, ila ulivyosema raisi asidhihakiwe ulimmaanisha Ney au Madee? Au raisi wa masharobaro wote dunia nzima, Bob junior?Hao ni nduguzo?
Inaonyesha hata wazazi wenu mnawadharauHapana, ila ulivyosema raisi asidhihakiwe ulimmaanisha Ney au Madee? Au raisi wa masharobaro wote dunia nzima, Bob junior?
Wazazi gani?Inaonyesha hata wazazi wenu mnawadharau
Wewe unawafahamu wazazi gani?Wazazi gani?
Wewe ulimaanisha wazazi gani?Wewe unawafahamu wazazi gani?
jamaa kapotea kenya forumMOTOCHINI was last seen: Today at 10:57 AM
Kwanza maajabu huyu toka saa nne hayupo humu!!
Umerudi!!Hayo nimaoni yako
Karudi sijui lipi lilimkutajamaa kapotea kenya forum
Walio kuzaa na kukuleaWewe ulimaanisha wazazi gani?
Wewe unaombea mabaya kwa mwanadam mwenzie!!Wacha wafee, hakuna jinsi manyang'au wamezidi kujisifia
Mh !za sikuWewe unaombea mabaya kwa mwanadam mwenzie!!
haupo sawa