Ghorofa ladondoka Maeneo ya Kijitonyama

Ghorofa ladondoka Maeneo ya Kijitonyama

Mkuu Wilbert1974, huyu cacico amenunuaje tena kesi hii? Mi nilidhani utamdai aliyeanzisha uzi ndio alete hivyo vitu vya kuthibitisha!
Mleta mada kasikia kutoka clouds fm, na cacico location ni Dar hivyo ana kila sababu ya kuweza kutupa vitu kamili kama kweli ni wa Dar... Vinginevyo labda yupo Kazimzumbwi halafu anasema yupo Dar!
 
Oooh my God .. Tenda miujiza mtoto atolewe hai.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nchi ya maafa. Utasikia tunaunda tume kufatilia
 
Inasemekana jitihada za kumtoa mtoto mmoja bado zinaendelea...

sinza.jpg
 
Tupeni undani wa hii habari ili tufuatilie,huenda ikawa ndugu zetu wamepata shida huko jamaniii
 
Ukitaka kuona uozo wa hii nchi kwanza anzia Dar es salaam..huu ni mji mchfu,un organised kwa kilaa kitu,wenye kila aina ya wizi na utapeli kuanzia wa viwaja mpaka Matibbu na pia kuna hali mbaya sana sana ya Uchafu,,yaani kila kitu ni shida...Pia kuna hawa na Mainjinia wa Jiji na Manispaaa wale wamegawana maeneo ila huwezi amini wale ndio Mbwa mwitu ndio mana unakuta nyumba inandikwa simamisha ujenzi keso yake inaanza kujengwa tena...

Serikali yetu ni dhaifu sana sana..imeshindwa kusimamia lolote likasemwa hili sawa!! yaani jamaa hawa hamna kitu kabisa...Idara ya Polisi ni ya kuvunja sio kurekebisha Polisi Ivunjwe iumdwe upya
 
Mleta mada kasikia kutoka clouds fm, na cacico location ni Dar hivyo ana kila sababu ya kuweza kutupa vitu kamili kama kweli ni wa Dar... Vinginevyo labda yupo Kazimzumbwi halafu anasema yupo Dar!

kumlaumu mleta mada mtakuwa mnamuonea, nami nilisikia kutoka kwenye radio, tatio nililo liona ni kwamba hatuna wana habari, mtangazaji badala ya kudadisi anaishia kulia lia! kweli shughulli ipo!
 
Pole ni wahanga,na hili JK analaumiwa?la...aisee labda tuambiwe ndie aliejenga,tumepewa uhuru na sheria zipo za ujenzi hatutaki kufuata,tusubiri JK aje???hovyooo
 
Back
Top Bottom