rais anahusikaje? kama mwenye jengo hakufuata taratibu za ujenzi ubora nani alaumiwerais dhaifu huleta wakandarasi dhaifu! TUHURUMIWE SANA WATANZANIA! Poleni sana majeruhi!
Weka picha ulivyopaona...Ni kweli.ni ghorofa ambalo nadhani walikua wanaishi watu wachache..halionekani kama ni ghorofa zuri ila kulikua na watu waliokua wanaishi pale na kuna mama mmoja alikua analia mtoto wake wa pekee ambae ni mdogo na housegirl wamenasa ndani na alikua anaongea nao bado wapo hai..polisi na gari la zimamoto washafika na wanajitahidi kutafuta njia ya kuingia ndani..ila kwa nilivyopaona pale na vifaa walivyonavyo only God knows!!
Mkuu Wilbert1974, huyu cacico amenunuaje tena kesi hii? Mi nilidhani utamdai aliyeanzisha uzi ndio alete hivyo vitu vya kuthibitisha!Mkuu cacico !
Unasomeka upo Dar si uende hapo utupatie habari kamili wadau hapa!
Au uwepo wako Dar ni wa magumashi tu; wote tupo huku Misogamisoji tu... Halafu tunazuga tupo Dar
Ni vyema ukaja na picha ya tukio pia!
Asante kwa updatesMsichana wa kazi ameshatolewa.mtoto bado hajapatikana
rais dhaifu huleta wakandarasi dhaifu! TUHURUMIWE SANA WATANZANIA! Poleni sana majeruhi!