chanaga
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 344
- 190
Habari zenu ndugu na dada,naomba kujua kama gharama za vifurushi vya startimes vimepanda kwa wote au king'amuzi changu kina leakage sababu kwa miezi miwili mfululizo kimekua kinakata baada ya siku 23 tofauti na mwanzoni ilikua uki recharge tarehe moja basi kitakata tarehe 30 mwisho wa mwezi kwa kile kifurushi bab kubwa cha 5000/. Tafadhalini naomba mnijuze.