jino kwa jino
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 783
- 170
wanabodi nawasalimu
napenda kujua gharama za usafirishaji wa nafaka kwa tanzania ukoje
mfano kutoa mchele ifakara morogoro kuleta dar
mahindi kutoa songea na Sumbawanga hadi dar. nk nk
mzigo ni gunia 50 au 100 nakodisha gari zima au unalipishwa kwa gunia na wanachaji kwa km au ikoje na bei zao zikoje kwa mwenye uzoefu
shukrani wapendwa
napenda kujua gharama za usafirishaji wa nafaka kwa tanzania ukoje
mfano kutoa mchele ifakara morogoro kuleta dar
mahindi kutoa songea na Sumbawanga hadi dar. nk nk
mzigo ni gunia 50 au 100 nakodisha gari zima au unalipishwa kwa gunia na wanachaji kwa km au ikoje na bei zao zikoje kwa mwenye uzoefu
shukrani wapendwa