Gharama za urais wa Tanzania hizi hapa

KIM KARDASH

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
5,139
1,139
attachment.php


1.lowassa+by+g.sengo+19.jpg


1.lowassa+by+g.sengo+27.jpg


2.jpg


attachment.php


IMG_2734.jpg
 
Jamaaa kumbe alishasilimishwa? siyo kitu kibaya kubadili dini lakini kama anafanya hivyo kwa ajili ya urais imekula kwake, halafu pia anaenda kwa washirikina...yaani ananjaa ya urais....akiupata nchi hii mtanyooka kwani fedha zake zote atahakikisha zimerudi, Mungu atuepushie hili balaa
 
Pamoja na mapungufu yake, angalau tutapata mtu mwenye uwezo wa kufikiri, mchapa kazi na mtu asiyetaka mzaha. Sidhani kama atasafiri kwenda Jamaica.
 
Huyu ni jembe anafaa kuwa Rais. Kama wizi hata jk ni mwizi tena mbaya zaidi mwanae anauza sembe ili aongeze utajiri,
 
Pamoja na mapungufu yake, angalau tutapata mtu mwenye uwezo wa kufikiri, mchapa kazi na mtu asiyetaka mzaha. Sidhani kama atasafiri kwenda Jamaica.

Kweli mkuu,yashangaza sana wanaopinga na kuhaha asiende ikulu ni wenzake.mafisadi,wauza sembe, majangiri na wezi.wanataka wananchi waamini EL hafai wao wanafaa.Kitendo hiki kinamfanya yeyote mwenye akili timamu atambue kuwa huyo ni jembe.kwani, 'mti wenye matunda ndo hupigwa mawe'.
 
^^
"Mnapakimbilia Ikulu? Ikulu kuna nini? Mimi nimekaa huko miaka 23.. Ikulu kuna matatizo... Mtu msafi hapakimbilii"
Mwl J.K Nyerere
^^
 
Anacheza ngoma ya Tapeli wa neno la Mungu aendaye kwa jina la T. B. Joshua ambaye kwake utajiri ni symbol of power, spirit, Vision and Strength. Hizi story au maandiko ya kusema ni vigumu kwa tajiri kuingia kwenye ufalme wa Mungu, kwa T. B. Joshua ni magumashi. Kwa T.B. Joshua, utajiri is everything na hata kama utaupata kimakosa, basi yeye yuko tayari kukuombea na ukasamehewa ili mradi tu utoe sehemu ya utajiri uliopatikana kwa njia ya wizi kwenye kanisa lake.

Kwa T. B. Joshua kama unataka kufika kwenye ufalme wa Mungu basi wewe Tajirika kwanza na umpatia pia sehemu ya utajiri wako ili akupatia huduma ambayo ni first track kwenye ufalme wa Mungu.

Hufahamu hata kitabu cha Biblia kinasema kuwa kuna wana wa Israel waliahidiwa nchi ya ahadi na katika safari yao kuelekea nchi ya ahadi, walipata misukosuko mingi sana. Hata Mh. Lowassa na yeye ameahidiwa na T. B. Joshua kazi ya ahadi nchini Tanzania na kwa sasa yuko safarini kuelekea kwenye kazi ya ahadi ambayo kuifikia lazima apitie vikwazo na misukosuko Mingi!.

Nyendo za Mh. Lowassa kwa sasa ni reflection ya story/Maandiko ndani ya kitabu cha Biblia.

Sifahamu atamlipa T. B. Joshua, Nigerian naira kiasi gani siku akiifikia kazi ya ahadi!.

Ama kweli wajinga ndiyo waliwao!.
 
Anacheza ngoma ya Tapeli wa neno la Mungu aendaye kwa jina la T. B. Joshua ambaye kwake utajiri ni symbol of power, spirit, Vision and Strength. Hizi story au maandiko ya kusema ni vigumu kwa tajiri kuingia kwenye ufalme wa Mungu, kwa T. B. Joshua ni magumashi. Kwa T.B. Joshua, utajiri is everything na hata kama utaupata kimakosa, basi yeye yuko tayari kukuombea na ukasamehewa ili mradi tu utoe sehemu ya utajiri uliopatikana kwa njia ya wizi kwenye kanisa lake.

Kwa T. B. Joshua kama unataka kufika kwenye ufalme wa Mungu basi wewe Tajirika kwanza na umpatia pia sehemu ya utajiri wako ili akupatia huduma ambayo ni first track kwenye ufalme wa Mungu.

Hufahamu hata kitabu cha Biblia kinasema kuwa kuna wana wa Israel waliahidiwa nchi ya ahadi na katika safari yao kuelekea nchi ya ahadi, walipata misukosuko mingi sana. Hata Mh. Lowassa na yeye ameahidiwa na T. B. Joshua kazi ya ahadi nchini Tanzania na kwa sasa yuko safarini kuelekea kwenye kazi ya ahadi ambayo kuifikia lazima apitie vikwazo na misukosuko Mingi!.

Nyendo za Mh. Lowassa kwa sasa ni reflection ya story/Maandiko ndani ya kitabu cha Biblia.

Sifahamu atamlipa T. B. Joshua, Nigerian naira kiasi gani siku akiifikia kazi ya ahadi!.

Ama kweli wajinga ndiyo waliwao!.



.......kashaluwa kekundu mkuu!!!!!
 
Anacheza ngoma ya Tapeli wa neno la Mungu aendaye kwa jina la T. B. Joshua ambaye kwake utajiri ni symbol of power, spirit, Vision and Strength. Hizi story au maandiko ya kusema ni vigumu kwa tajiri kuingia kwenye ufalme wa Mungu, kwa T. B. Joshua ni magumashi. Kwa T.B. Joshua, utajiri is everything na hata kama utaupata kimakosa, basi yeye yuko tayari kukuombea na ukasamehewa ili mradi tu utoe sehemu ya utajiri uliopatikana kwa njia ya wizi kwenye kanisa lake.

Kwa T. B. Joshua kama unataka kufika kwenye ufalme wa Mungu basi wewe Tajirika kwanza na umpatia pia sehemu ya utajiri wako ili akupatia huduma ambayo ni first track kwenye ufalme wa Mungu.

Hufahamu hata kitabu cha Biblia kinasema kuwa kuna wana wa Israel waliahidiwa nchi ya ahadi na katika safari yao kuelekea nchi ya ahadi, walipata misukosuko mingi sana. Hata Mh. Lowassa na yeye ameahidiwa na T. B. Joshua kazi ya ahadi nchini Tanzania na kwa sasa yuko safarini kuelekea kwenye kazi ya ahadi ambayo kuifikia lazima apitie vikwazo na misukosuko Mingi!.

Nyendo za Mh. Lowassa kwa sasa ni reflection ya story/Maandiko ndani ya kitabu cha Biblia.

Sifahamu atamlipa T. B. Joshua, Nigerian naira kiasi gani siku akiifikia kazi ya ahadi!.

Ama kweli wajinga ndiyo waliwao!.
Atamlipa robo ya ambacho JK kagawa bure kwa Wachina
 
Atamlipa robo ya ambacho JK kagawa bure kwa Wachina
Robo ndiyo nini katika namba?.

Hebu niandikie robo katika namba ili nifahamu kitu kizima pia katika na,ba ambacho Rais Kikwete amegawa bure kwa Wachina.
 
Huyu ni jembe anafaa kuwa Rais. Kama wizi hata jk ni mwizi tena mbaya zaidi mwanae anauza sembe ili aongeze utajiri,

Fredy Lowassa mtoto wa Lowassa ndio mwenye biashara hizo,ndio wanahangaika na hela za biashara hivi kwenye nyumba za ibada ili kuzitakasa
 
Kweli mkuu,yashangaza sana wanaopinga na kuhaha asiende ikulu ni wenzake.mafisadi,wauza sembe, majangiri na wezi.wanataka wananchi waamini EL hafai wao wanafaa.Kitendo hiki kinamfanya yeyote mwenye akili timamu atambue kuwa huyo ni jembe.kwani, 'mti wenye matunda ndo hupigwa mawe'.

 
Last edited by a moderator:
Fredy Lowassa mtoto wa Lowassa ndio mwenye biashara hizo,ndio wanahangaika na hela za biashara hivi kwenye nyumba za ibada ili kuzitakasa

Tafadhali, tafadhali, kwenye mijadala hii nawashauri msiingize kashfa kwa watumishi wa Mungu. Nimesikitishwa na waliotoa koment wakamuweka TB Joshua. TB Joshua kazi yake si kuwakataa wala kuwahukumu wezi. Hii ndi kazi ya Yesu Kristo ambaye anaichukia dhambi bali huwapenda watenda dhambi maana hao ndo waliofanya kagongolewa msalbani. Kama TB Joshu anawaombea na kuwambia habri za Yesu, basi ni wa Yesu. please stop it
 
Anguko lako li-upenuni mwa nyumba yako, jitazame
Anacheza ngoma ya Tapeli wa neno la Mungu aendaye kwa jina la T. B. Joshua ambaye kwake utajiri ni symbol of power, spirit, Vision and Strength. Hizi story au maandiko ya kusema ni vigumu kwa tajiri kuingia kwenye ufalme wa Mungu, kwa T. B. Joshua ni magumashi. Kwa T.B. Joshua, utajiri is everything na hata kama utaupata kimakosa, basi yeye yuko tayari kukuombea na ukasamehewa ili mradi tu utoe sehemu ya utajiri uliopatikana kwa njia ya wizi kwenye kanisa lake.

Kwa T. B. Joshua kama unataka kufika kwenye ufalme wa Mungu basi wewe Tajirika kwanza na umpatia pia sehemu ya utajiri wako ili akupatia huduma ambayo ni first track kwenye ufalme wa Mungu.

Hufahamu hata kitabu cha Biblia kinasema kuwa kuna wana wa Israel waliahidiwa nchi ya ahadi na katika safari yao kuelekea nchi ya ahadi, walipata misukosuko mingi sana. Hata Mh. Lowassa na yeye ameahidiwa na T. B. Joshua kazi ya ahadi nchini Tanzania na kwa sasa yuko safarini kuelekea kwenye kazi ya ahadi ambayo kuifikia lazima apitie vikwazo na misukosuko Mingi!.

Nyendo za Mh. Lowassa kwa sasa ni reflection ya story/Maandiko ndani ya kitabu cha Biblia.

Sifahamu atamlipa T. B. Joshua, Nigerian naira kiasi gani siku akiifikia kazi ya ahadi!.

Ama kweli wajinga ndiyo waliwao!.
 
Ukimchunguza sana bata, hakika huwezi kumla. Ingekua siri (kama wengine wanavyofanya waonekane wasafi) asingekubal kupigwa picha. Mzee n mtendaj, wadhaifu wametuchosha mpen kura awafungie kazi.
 
Back
Top Bottom