Gharama za ujenzi wa swimming pool

Gharama za ujenzi wa swimming pool

981cd0254a4a70121fbe2242d5457e4b.jpg
 
Mkuu nimefanyiwa tathmini la nyumbani zuri na la wastani vitu vya kisasa Ml73
 
Kuna fundi wangu mmoja niliwahi kumuuliza alisema yeye kuanzia uchimbaji mpaka linaisha anaweza kujenga kwa m15,
kwa madai yake anasema vyenye thamani kubwa ni vifaa ikiwemo ile mashine ya kujazia maji na kunyonya, tiles na cement ya swimming( isiyopitisha maji)
 
Nunua kontela la kusafirishia mizigo lile dogo la inchi 20 ambalo gharama yake kwa sasa haizidi milioni moja.
Tafuta turubai zito alafu ulizingishie kwenye kontena zima,sehemu ambazo zipo wazi.
Chimba shimo sawa na vipimo vya kontena alafu tafuta fundi ai mtaalamu wa mifumo ya maji ili akuunganishie na kontena.baada ya hapo utapata swimming pool ya bei rahisi ambayo haizidi milioni 2.
Kama hujaelewa ni pm au nitafute kwa namba hii
0625582109
Container ya inchi 20?? Au unamaanisha futi 20??.....container ya futi 20 hupati chini ya shs 3 million.
 
gharama ya Ujenzi hiyo pool ni kubwa mkuu bajeti ndogo kabisa andaa kama mil 17 mpaka ishirini . tena kama unataka vifaa harisi vya hiyo swimming ni hatari sana. mfano tailizi moja ile frofesheno ya sm 30kwa20 bei yake aipungui 29000 kwa moja sio box. kuna moja ndo naimalizia Ujenzi bado kumbukumbu ninazo
Kwawale wa vijijini nibora tuendelee kuwapa mamba campani mtoniii!
 
Kuna fundi wangu mmoja niliwahi kumuuliza alisema yeye kuanzia uchimbaji mpaka linaisha anaweza kujenga kwa m15,
kwa madai yake anasema vyenye thamani kubwa ni vifaa ikiwemo ile mashine ya kujazia maji na kunyonya, tiles na cement ya swimming( isiyopitisha maji)
Yuko wapi huyo fundi
 
Nunua kontela la kusafirishia mizigo lile dogo la inchi 20 ambalo gharama yake kwa sasa haizidi milioni moja.
Tafuta turubai zito alafu ulizingishie kwenye kontena zima,sehemu ambazo zipo wazi.
Chimba shimo sawa na vipimo vya kontena alafu tafuta fundi ai mtaalamu wa mifumo ya maji ili akuunganishie na kontena.baada ya hapo utapata swimming pool ya bei rahisi ambayo haizidi milioni 2.
Kama hujaelewa ni pm au nitafute kwa namba hii
0625582109
Weka picha
 
Back
Top Bottom