KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Mda mchache uliopita nimeangalia total cost ya simu nilizopiga kwa the last 3 years, nimegundua nimeliwa kama Noah 1 na nusu ivi, wakati sina uwezo wa kununua, na hapo ni mtandao mmoja tu.
Hii ni halali kweli? Mitandao ya simu kwanini mnatufanya kinyume na maumbile ivi?
Hii ni halali kweli? Mitandao ya simu kwanini mnatufanya kinyume na maumbile ivi?