Gharama za meno bandia na bima ya afya- NHIF

mwambojoke

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
1,060
630
Naomba kuuliza wana jukwaa hili.

Je, Bima ya Afya ina cover ukihitaji kubadili meno na kuweka ya bandia? Ama ni hospitali zipi na kwa gharama zipi naweza pata huduma hii kwa Dar es salaam?
 
Hakuna hilo fao la anasa
Labda matibabu tu ya kinywa na meno
 
Mimi nauliza kuhusu hospital gan naweza kupata huduma ya jicho la bandia na gharama ni kiasi gani maana nilpata ajali
 
Chukulia hata mkopo ndugu,meno sio anasa ni kitu muhimu kama vidole katika mwili n.k.Ukiwa na pengo huwezi kutafuna vizuri,huwezi kuongea vizuri,ukiongea mate yanatoka bila mpangilio,ulimi nao unakuwa hauchezi mbali na hiyo sehemu yenye pengo hivyo kumfanya mtu aonekane kila wakati kama anatafuna jojo,yaani ni sheeeda.
 
Back
Top Bottom