kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Habari kuhusu gharama za matibabu kwenye mahospitali makubwa nchini kwa watu wanaodhaniwa kuwa na Nimonia kali ni kubwa sana, serikali inapaswa kumulika hospitali hizi kuona kama hizi gharama ni halisi au zinapandishwa na wamiliki.
Lakini pia ni muhimu kupata gharama elekezi kwa watu wanaopata changamoto ya upumuaji kuepusha kila hospital kujiwekea gharama zake.
Mfano unaambiwa mgonjwa kwa lisaa limoja oxygen na kuyeyusha damu isigande ni shs 100,000/=
Ni Mtanzania gani ataweza hizi gharama? Tuyajadili haya wazi tupate unafuu kuliko kukaa kimya.
Lakini pia ni muhimu kupata gharama elekezi kwa watu wanaopata changamoto ya upumuaji kuepusha kila hospital kujiwekea gharama zake.
Mfano unaambiwa mgonjwa kwa lisaa limoja oxygen na kuyeyusha damu isigande ni shs 100,000/=
Ni Mtanzania gani ataweza hizi gharama? Tuyajadili haya wazi tupate unafuu kuliko kukaa kimya.