sab
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 5,723
- 4,285
Habari wana jf,
Jamani wana jf naomba mnijuze gharama za kupanda mlima Kilimanjaro kwa mtanzania ni kiasi gani , na kama kuna addition yoyote naomba kujua.
Niko mbioni kuchukua likizo sasa naona katika likizo angalau nifanye jambo hili lakupanda mlima Kilimanjaro, kwani nimekuwa nikitamani siku nyingi.
Jamani wana jf naomba mnijuze gharama za kupanda mlima Kilimanjaro kwa mtanzania ni kiasi gani , na kama kuna addition yoyote naomba kujua.
Niko mbioni kuchukua likizo sasa naona katika likizo angalau nifanye jambo hili lakupanda mlima Kilimanjaro, kwani nimekuwa nikitamani siku nyingi.