Zamani tulikuwa tunayaita 'kijiko'.
Umenikumbusha yale ya Kajima enzi hizo.
Kuna mtu humu anajua excavator zinakodishwaje?
gharama zake?
wapi naweza pata the cheapest excavator?
waswahlli wanaita grader ...
Yap kijiko
cc masai dada
Mkuu uko general sana,
hizo ziko za capacity tofauti na miundo tofauti, hivyo na bei inakuwa tofauti
maana kuna zile zenye tairi na kuna zile zenye chain, hivyo mobilization na demobilazation iko tofauti, hata bucket size pia ina matter kwenye gharama
Ukitaka cheapest nenda Ktk manispa yoyote kaonge nao...Ila nnavyojuaga kwa siku ni kati ya 800,000 au 1,000,000/, maana excavator huwa ina operate masaa 8 tu, kingine operator na mafuta juu yako na kulibeba na kulirudisha juu yako mkuu.Kuna mtu humu anajua excavator zinakodishwaje?
gharama zake?
wapi naweza pata the cheapest excavator?
kuna greda
kijiko
na
katapila
which one do you want?
katapila
which one do you want?
Ukitaka cheapest nenda Ktk manispa yoyote kaonge nao...Ila nnavyojuaga kwa siku ni kati ya 800,000 au 1,000,000/, maana excavator huwa ina operate masaa 8 tu, kingine operator na mafuta juu yako na kulibeba na kulirudisha juu yako mkuu.
Hahaaaa daaah!
Nadhani Caterpillar (katapila) ni brand tu.
Sidhani kuna construction equipment inayoitwa hivyo.
![]()