Gharama za kukodisha excavator

Gharama za kukodisha excavator

Yes...excavator inabebwa kwa low loader, hasa zile zenye minyororo badala ya matairi...

Kijiko kinatembea chenyewe....

Usipokua umefanikiwa kesho nikupe link ya jamaa fulani wapo afrika sana....

Nitafutie hiyo link
nitaongea nao nione rates zao
 
kuna greda
kijiko
na
katapila

which one do you want?
masai dada katapila ni model mmojawapo ya mashine kwenye contruction industry,kwahiyo kuna grader aina ya katapila,excavator aina ya katapila,roller aina ya katapila n.k
 
The Boss ningeona huu uzi hata nisingejisumbua kufungua ule wangu.Humu kuna info zote.
Wewe ulifanikiwa?If yes unaweza kuniambia ulikodisha wapi na gharama zilikuaje?
 
Last edited by a moderator:
The Boss ningeona huu uzi hata nisingejisumbua kufungua ule wangu.Humu kuna info zote.
Wewe ulifanikiwa?If yes unaweza kuniambia ulikodisha wapi na gharama zilikuaje?

Mie nilifanikiwa
nilipata wakorea wa pale mbuyuni
kama unaenda tegeta ukitokea mbezi beach
ilikuwa bei ya kawaida tu
chini ya milioni...

bei zao ni kama laki saba kwa masaa 8....inategemea na umbali na mda gani unahitaji
 
bei ndo kama hizi....

Hivi zile za kusafisha shamba na kuangusha miti si ndo hizi? Maana kuna ya kukwangua barabara ambayo kwa kazi ya shamba yanakua sio.

Na kwa uzoefu wako kulitoa hapa mjini mpaka maeneo ya kibiti kabla ya rufiji inaweza kua ngapi transport?

Pili hivi haya madude yanaweza kupiga kazi heka ngapi kwa siku kama unafahamu kaka? Kazi ni kusafisha msitu.
 
Ukitaka cheapest nenda Ktk manispa yoyote kaonge nao...Ila nnavyojuaga kwa siku ni kati ya 800,000 au 1,000,000/, maana excavator huwa ina operate masaa 8 tu, kingine operator na mafuta juu yako na kulibeba na kulirudisha juu yako mkuu.
Shukran
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom