The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
- Thread starter
- #41
Yes...excavator inabebwa kwa low loader, hasa zile zenye minyororo badala ya matairi...
Kijiko kinatembea chenyewe....
Usipokua umefanikiwa kesho nikupe link ya jamaa fulani wapo afrika sana....
Nitafutie hiyo link
nitaongea nao nione rates zao