:bump: Salaam kwenu waungwana wote!
Nafikiria kununua Ki-gari to JPN in Apr 2011,
Plz naomba kufahamishwa gharama nitakazo paswa kuzilipa hadi linakuwa kwa barabara, bila gharama ya kununua na kusafirisha to Dsm Port! ie. gharama za bandari, VAT, TRA, nk.
If ombi kama hili limewahi kujadiliwa, plz naombo muongozo wa kufika huko.
Nawasilisha!
kwa kawaida ulipa gharama hizi
Vat ni 18%
CC ni 10%
Uchakavu ( gari lililozidi miaka 10) ni 20%
import duty ni 25%
registration ni Tshs 308,000 (sijui kama zimepanda)
za bandarini ni dola 10 kwa siku baada ya wiki 1 gari lilipofika (sijui kama zimeongezeka).
SASA HIYO % NI ACCUMULATIVE YA KILA KODI KUTOKA KWA CIF
e.g, jumla ya gharama zote za ununuzi wa gari kutoka Japan hadi Bandari ya DSM (au yoyote) ni $ 5000
TRA wanaanza
Import duty (20%) = $5000x20/100 = $1000
CC (10%) = $500 +Vat($1000)=$6000, $6000x10/100 = $600
Vat (18%) = $6000+ CC($600) = $6600, $6600x18/100= .....
Nakuendelea, kwa hiyo ukiagiza gari kwa $ 5000 hakikisha una 75% ya kulipia kodi la siyo utoe mlungula na wajanja wa TRA
Swali halija kamilika, hako ka gari ni ka mwaka gani? Na kana CC Ukubwa gani?na umekanunua bei gani? Kana inspection ya JAAAI? (Kama hakana uende TBS Ubungo na $800)na umelipia pesa ngapi za kusafirisha yani freight to DSM/TANGA/ZNZ ukituma majibu haya utaweza kupata muelekeo wa watakavyo kukufisadi hapa TRA,TISCN NA TPA Usisahau kuna ku up lift na OTHERS CHARGE
:bump: Salaam kwenu waungwana wote!
Nafikiria kununua Ki-gari to JPN in Apr 2011,
Plz naomba kufahamishwa gharama nitakazo paswa kuzilipa hadi linakuwa kwa barabara, bila gharama ya kununua na kusafirisha to Dsm Port! ie. gharama za bandari, VAT, TRA, nk.
If ombi kama hili limewahi kujadiliwa, plz naombo muongozo wa kufika huko.
Nawasilisha!
Ha ha haaaaUnataka kununua gari kwenda Japan ama macho yangu?
:bump: Salaam kwenu waungwana wote!
Nafikiria kununua Ki-gari to JPN in Apr 2011,
Plz naomba kufahamishwa gharama nitakazo paswa kuzilipa hadi linakuwa kwa barabara, bila gharama ya kununua na kusafirisha to Dsm Port! ie. gharama za bandari, VAT, TRA, nk.
If ombi kama hili limewahi kujadiliwa, plz naombo muongozo wa kufika huko.
Nawasilisha!
Unataka kununua gari kwenda Japan ama macho yangu?
Kuna vitu lazima uvi disclose ili tukusaidie kufanya calculations ambayo itakupa rough figure tu usitegemee ndio itakuwa gharama halisi as TRA wakiamua wana ku up lifts mathalan umenunua gari dola 1000 wanaweza kukataa na kuipa value yao hiyo value ndio base ya circulations zenyewe 5% import duty kuna VAT.
Upande wa bandari lazima ujue vipimo vya gari unayoagiza na value as well wanacharge wharfage 6% ya custom value "hii baada ya ma uplifts yao na kupata release" kisha kuna handling ambayo ni 4 USD per CBM gari kama noah ina CBM 15 kwahiyo Handling charges ya Noah ni dola 60 bila VAT.
Ukiipata gari kwenye show rooms za b ongo kwa dola elfu saba nunua haraka.duh hizi gharama wanaumiza sana aisee.Kuna gari nilitaka kuagiza kutoka Japan kwa US$3000,kwa mahesabu haya wallah mpaka linatembea inaeza fika US$ 10,000..duh kweli bongo ni noma
Hivi wakuu kwa gharama hizi,kipi bora kati ya kuagiza mwenyewe au kuingia show rooms za bongo?
kwa kawaida ulipa gharama hizi
Vat ni 18%
CC ni 10%
Uchakavu ( gari lililozidi miaka 10) ni 20%
import duty ni 25%
registration ni Tshs 308,000 (sijui kama zimepanda)
za bandarini ni dola 10 kwa siku baada ya wiki 1 gari lilipofika (sijui kama zimeongezeka).
SASA HIYO % NI ACCUMULATIVE YA KILA KODI KUTOKA KWA CIF
e.g, jumla ya gharama zote za ununuzi wa gari kutoka Japan hadi Bandari ya DSM (au yoyote) ni $ 5000
TRA wanaanza
Import duty (20%) = $5000x20/100 = $1000
CC (10%) = $500 +Vat($1000)=$6000, $6000x10/100 = $600
Vat (18%) = $6000+ CC($600) = $6600, $6600x18/100= .....
Nakuendelea, kwa hiyo ukiagiza gari kwa $ 5000 hakikisha una 75% ya kulipia kodi la siyo utoe mlungula na wajanja wa TRA
Unataka kununua gari kwenda Japan ama macho yangu?
Naomba nikusaidie kidogo,maneno mengi ya kiingereza hayana tafsiri ya moja kwa moja kuja kiswahili kama unavyodhani, mara nyingi yanategemea na namna na mazingira yanayotumika. Kwa mfano kwenye mpira, timu inapopata kona, lets say Totenham wamepata kona kuelekea goli la AC Milan, kwa kiingereza inatamkwa corner to Totenham (si corner from Totenham) au ikiwa wamepata faulo kuelekea goli la AC Milan, commentator atakuambia, this is foul to Totenham. Kwahiyo epuka kufanya tafsiri ya haraka na moja kwa moja.