PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Nimekua nikifatilia kwa muda sasa kesi mbalimbali za uchaguzi hapa nchini,lakini kinacho nitatiza ni kua katika hukumu zinazotolewa kama ni chama cha upinzani kimeshindwa utasikia katika hukumu wameamriwa kulipa gharama zote za kuendesha kesi (mfano ni kesi ya Mh.Lema.)Mbona hatusikii chama cha CCM wakiamriwa kulipa gharama za kuendesha kesi wanapo shindwa?????! TUJADILI.