Gharama za kuchapisha kitabu

Gharama za kuchapisha kitabu

fijohnas

Member
Joined
Mar 20, 2018
Posts
23
Reaction score
5
Habari za humu wanajamii,ninakusudia kuchapisha kitabu kidogo cha kurasa kuanzia 20-25.Sina uzoefu na masuala ya uchapaji hivyo ninaomba ushauri kuhusu gharama,na kampuni za uchapaji kutoka kwa yeyote mwenye uzoefu.Ahsanteni.
 
Niko mkoa wa Mara ndg
Ina depend, kuna option nyingi. Mfano soft copy preparations, cover design, material used nk.

Pia copies unazohitaji zita determine bei. Niko mbali tungefanya kazi.
 
Ina depend, kuna option nyingi. Mfano soft copy preparations, cover design, material used nk.

Pia copies unazohitaji zita determine bei. Niko mbali tungefanya kazi.
Uko mkoa gani ndg,nahitaji msaada wako,hatuwezi kupanga namna ya kuonana?
 
Back
Top Bottom