tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Wakuu habari zenu wakuu. leo nimepigiwa simu, nahitajika kwenye interview jumatatu ( Green bird College-kipo wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro).
Shida yangu ni kutaka kujua gharama za nauli kutokea Dar pamoja na kukaa pale Mwanga kwa siku mbili.
Mwenye kufahamu, naomba msaada wako ili nijipange mapema.
natanguliza shukrani
Shida yangu ni kutaka kujua gharama za nauli kutokea Dar pamoja na kukaa pale Mwanga kwa siku mbili.
Mwenye kufahamu, naomba msaada wako ili nijipange mapema.
natanguliza shukrani