Gharama za bus lori, scania au fuso

Gilbertlit

Member
Jun 10, 2021
25
10
Hello habari wana jamvi, kwa mtu yoyote mwenye kampuni ya kusafirisha mizigo kutoka Tanzania kwenda nje ya Tanzania, ninataka kupeleka vitunguu Gaborone, Botswana vitunguu gunia 80, sasa hapo nafikiri nitahitaji gari aina gani kati ya fuso au scania ?

Alafu nahitaji kujua gharama zake mpaka kufika hapo Gaborone. Kuna mtu yoyote anaweza nisaidia kunipa connection na kampuni ya usafirishaji ?
 
Nakushauli kabla ya yote unaitaji kujua information za mipakani kwanza,maana huko ndiko kwenye changamoto kubwa.
Na kumbuka kutoka South Africa kwenda Botswana ni kalibu zaidi,na upande wa masuala ya kilimo south wako juu,jee umejiridhisha katika hilo soko la vitunguu?
 
Nakushauli kabla ya yote unaitaji kujua information za mipakani kwanza,maana huko ndiko kwenye changamoto kubwa.
Na kumbuka kutoka South Africa kwenda Botswana ni kalibu zaidi,na upande wa masuala ya kilimo south wako juu,jee umejiridhisha katika hilo soko la vitunguu?
Ndiyo kuna mtu tuko kule anataka vitunguu toka Tanzania, anataka ni mtafutie mzigo.
 
Ndiyo kuna mtu tuko kule anataka vitunguu toka Tanzania, anataka ni mtafutie mzigo.
Hizo gunia 80 ni kama ton ngapi mkuu? Kinachoamua aina ya gari ya kutumia namba moja ni uzito wa mzigo. Mimi nipo kwenye hiyo sector so ninaweza kuwa msaada kwa namna moja ama nyingine.
 
Hizo gunia 80 ni kama ton ngapi mkuu? Kinachoamua aina ya gari ya kutumia namba moja ni uzito wa mzigo. Mimi nipo kwenye hiyo sector so ninaweza kuwa msaada kwa namna moja ama nyingine.
Anataka tani 7 so ni gunia 70 za kilo 100. Ila anaweza ongeza mpaka tani 8 yaani gunia 80.
 
Back
Top Bottom