Airtel imepandisha gharama za internet, 400mb kwa sasa sh. 5000. Piga *154*44#
Njia ya zamani inafanya kazi sawa lakini wanasema wao ni kwa hajili ya SIMU ZA MKONONI siyo kwa ajili ya PC na ni kweli kwani wakidetecctb speed yako iko juu wanaimeza fasta hasa wakati una download lakini kama unasuff unaenjoy sana,......... internet kwenda 15444.....sometyme message wanazifanya zinakua failure ukitumia 15444 but cyo cku zote kwani weakend nzima wamegoma kureply mpaka niliponuna kifurushi cha siku 1 kwa sh500 amabzo ni50mb(time based subscription)
nilikwama, ila wadau msijiunge kwa kupiga hiyo *154*44#, bali jiunge kwa ile kutuma neno Internet kwenda 15444, wanakata 2500 kwa zile 400mb, embu tuendelee kujinafasi wadau
mambo yote Zantel... 2GB for TShs. 40,000 per month!
nilikwama, ila wadau msijiunge kwa kupiga hiyo *154*44#, bali jiunge kwa ile kutuma neno Internet kwenda 15444, wanakata 2500 kwa zile 400mb, embu tuendelee kujinafasi wadau
Sio kweli, mi juzi nimenunua mb 400 kwa sh 2500. Andika internet kwenda 15444.
Ukiwa na 2500/= then unanunua bundle ya 2500/=, haikubali, at least uwe na 2504/=