tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
@Matola, tumia ile ile njia ya zamani yaani tuma neno INTERNET kwenda 15444, utapata 400MB kwa sh 2,500.
Mimi nimerecharge jana tu na hakuna matatizo yo yote.
vipi bado inakaa mwezi mzima? Miye nilinunua wiki jana then jana naambiwa eti ime expire...sijawaelewa.