Gharama ya Mabango ya Rais Samia, Unajenga kituo cha afya

Gharama ya Mabango ya Rais Samia, Unajenga kituo cha afya

we una uwezo wa kuzunguka mikoa yote? Acha wivu na chuki za kike. Mamako amechangishwa chochote? Unajihangaisha na mambo usiyoyaweza kahangaikie hayo maisha yako magumu.
Ni kodi za wananchi zinatumika mbona una majibu mepesi sana ndugu. Huez kufikiria mambo madogo kama aya? Wew huna msaaada kwa taifa lako.
 
Watu wameshapiga pesa za mabango hapo
 
Nilidhani ni Dar tuu, nimezunguka karibia mikoa yote, ni Mabango tuu ya Picha za Mama.

Kwa jinsi gharama zilivyo kuprint na kukodi space, nadhani gharama zake zinaweza jenga kituo cha afya maridadi kabisa..

Wengi wanauliza sababu ya kuweka mabango ni nini?

1.Je haaamini kwamba watanzania tunajua kazi ananzo fanya hadi atuwekee mabango.

2. Au ni kuwaambia wana ccm maendeleo yamefanyamika ili 2025 kusije tokea yasiyo tegemewa?

3. Au anajua hajafanya alivyo tarajia na anaona vingi havija fanyia, kwa hiyo walau maendeleo yaonekane kwenye mabango hata kama hayapo.

4. Serikali inafedha nyingi kiasi kwamba kero zote zimesha tatuliwa na kilicho baki ni kutumia fedha kwa jambo lolote.

5. Amegundua 2025 inaweza kuwa ngumu sana hasa ukizingatia mtangulizi wake alifanya mambo yakaonekana..

6. Labda anataka ampite jiwe kwa idadi kubwa ya maendeleo, maana kuna bango nimeona linasema mama kajenga vituo vya afya 1000, ambavyo hatujui vimejengwa wapi.. [emoji23][emoji23][emoji23]

Mungu ibariki Tanzania..

Mawaziri wangu naona hili nalo mkalitazame kwa jicho la kipekee..[emoji4]
Acha atoe Mabango yatawale regarless ... nchi Uchumi unakua/ elimu Bure/ vituo vya afya kila konA/ Ajira zinatokA sasa/ Maridhiano ( Good governance)/ ushawishi kwa Wahisani.. Donor countries..
 
Acha atoe Mabango yatawale regarless ... nchi Uchumi unakua/ elimu Bure/ vituo vya afya kila konA/ Ajira zinatokA sasa/ Maridhiano ( Good governance)/ ushawishi kwa Wahisani.. Donor countries..
Nionyeshe vituo hata 3 alivyo jenga mama..

Ameweka tozo kwenye mobile money tozo zote wamekwapua wahuni..

Mwaka 2021/2022 ametenga tr 1.5 za barabara zote zomekwapuliwa na wahuni

Mama hii kazi imemzidi kimo.. tumuombee tuu atufikishe 2025 kiasha arudi akalee wajukuu.
 
Back
Top Bottom