Gharama ya Mabango ya Rais Samia, Unajenga kituo cha afya

Gharama ya Mabango ya Rais Samia, Unajenga kituo cha afya

Nilidhani ni Dar tuu, nimezunguka karibia mikoa yote, ni Mabango tuu ya Picha za Mama.

Kwa jinsi gharama zilivyo kuprint na kukodi space, nadhani gharama zake zinaweza jenga kituo cha afya maridadi kabisa..

Wengi wanauliza sababu ya kuweka mabango ni nini?

1.Je haaamini kwamba watanzania tunajua kazi ananzo fanya hadi atuwekee mabango.

2. Au ni kuwaambia wana ccm maendeleo yamefanyamika ili 2025 kusije tokea yasiyo tegemewa?

3. Au anajua hajafanya alivyo tarajia na anaona vingi havija fanyia, kwa hiyo walau maendeleo yaonekane kwenye mabango hata kama hayapo.

4. Serikali inafedha nyingi kiasi kwamba kero zote zimesha tatuliwa na kilicho baki ni kutumia fedha kwa jambo lolote.

5. Amegundua 2025 inaweza kuwa ngumu sana hasa ukizingatia mtangulizi wake alifanya mambo yakaonekana..

6. Labda anataka ampite jiwe kwa idadi kubwa ya maendeleo, maana kuna bango nimeona linasema mama kajenga vituo vya afya 1000, ambavyo hatujui vimejengwa wapi.. [emoji23][emoji23][emoji23]

Mungu ibariki Tanzania..

Mawaziri wangu naona hili nalo mkalitazame kwa jicho la kipekee..[emoji4]
Inasikitisha sana.
Hata Mwendazake pamoja na kupenda sana kuabudiwa lkn hakufikia ujinga huu
 
Watu wamekosa matangazo wameona wayaweke hayo yakae tu
 
Moja kati ya kosa la kimkakati la mama ni kuonyesha nia ya kugombea 2025!!

Kitu gani hajui huyu!!?

Ccm humweka wanaye mtaka sasa si angesubiri wake waamue hatma yake!!!? kwani jua mwenyekiti nintiketi ya kua mgombea!!?

Angepiga kazi tu mengine yawe majaaliwa ya mola tu!

Mungu ibariki Tanzania e yetu!!
 
Moja kati ya kosa la kimkakati la mama ni kuonyesha nia ya kugombea 2025!!

Kitu gani hajui huyu!!?

Ccm humweka wanaye mtaka sasa si angesubiri wake waamue hatma yake!!!? kwani jua mwenyekiti nintiketi ya kua mgombea!!?

Angepiga kazi tu mengine yawe majaaliwa ya mola tu!

Mungu ibariki Tanzania e yetu!!
Kuna wajinga walimwingiza siko
 
Nilidhani ni Dar tuu, nimezunguka karibia mikoa yote, ni Mabango tuu ya Picha za Mama.

Kwa jinsi gharama zilivyo kuprint na kukodi space, nadhani gharama zake zinaweza jenga kituo cha afya maridadi kabisa..

Wengi wanauliza sababu ya kuweka mabango ni nini?

1.Je haaamini kwamba watanzania tunajua kazi ananzo fanya hadi atuwekee mabango.

2. Au ni kuwaambia wana ccm maendeleo yamefanyamika ili 2025 kusije tokea yasiyo tegemewa?

3. Au anajua hajafanya alivyo tarajia na anaona vingi havija fanyia, kwa hiyo walau maendeleo yaonekane kwenye mabango hata kama hayapo.

4. Serikali inafedha nyingi kiasi kwamba kero zote zimesha tatuliwa na kilicho baki ni kutumia fedha kwa jambo lolote.

5. Amegundua 2025 inaweza kuwa ngumu sana hasa ukizingatia mtangulizi wake alifanya mambo yakaonekana..

6. Labda anataka ampite jiwe kwa idadi kubwa ya maendeleo, maana kuna bango nimeona linasema mama kajenga vituo vya afya 1000, ambavyo hatujui vimejengwa wapi.. [emoji23][emoji23][emoji23]

Mungu ibariki Tanzania..

Mawaziri wangu naona hili nalo mkalitazame kwa jicho la kipekee..[emoji4]
we una uwezo wa kuzunguka mikoa yote? Acha wivu na chuki za kike. Mamako amechangishwa chochote? Unajihangaisha na mambo usiyoyaweza kahangaikie hayo maisha yako magumu.
 
Nilidhani ni Dar tuu, nimezunguka karibia mikoa yote, ni Mabango tuu ya Picha za Mama.

Kwa jinsi gharama zilivyo kuprint na kukodi space, nadhani gharama zake zinaweza jenga kituo cha afya maridadi kabisa..

Wengi wanauliza sababu ya kuweka mabango ni nini?

1.Je haaamini kwamba watanzania tunajua kazi ananzo fanya hadi atuwekee mabango.

2. Au ni kuwaambia wana ccm maendeleo yamefanyamika ili 2025 kusije tokea yasiyo tegemewa?

3. Au anajua hajafanya alivyo tarajia na anaona vingi havija fanyia, kwa hiyo walau maendeleo yaonekane kwenye mabango hata kama hayapo.

4. Serikali inafedha nyingi kiasi kwamba kero zote zimesha tatuliwa na kilicho baki ni kutumia fedha kwa jambo lolote.

5. Amegundua 2025 inaweza kuwa ngumu sana hasa ukizingatia mtangulizi wake alifanya mambo yakaonekana..

6. Labda anataka ampite jiwe kwa idadi kubwa ya maendeleo, maana kuna bango nimeona linasema mama kajenga vituo vya afya 1000, ambavyo hatujui vimejengwa wapi.. [emoji23][emoji23][emoji23]

Mungu ibariki Tanzania..

Mawaziri wangu naona hili nalo mkalitazame kwa jicho la kipekee..[emoji4]
Na yale ya hapa kazi tu, mara mzalendo, mara Rais wa wanyonge, mara ni msikivu! Yale unajenga uwanja wa ndege kbs!!
 
we una uwezo wa kuzunguka mikoa yote? Acha wivu na chuki za kike. Mamako amechangishwa chochote? Unajihangaisha na mambo usiyoyaweza kahangaikie hayo maisha yako magumu.
Tanzania ina mikoa mingapi boss mtu ushindwe kuzunguka?
 
Kwa ukubwa wa Yale mabango moja sio chini ya 15 m.
 
Nilidhani ni Dar tuu, nimezunguka karibia mikoa yote, ni Mabango tuu ya Picha za Mama.

Kwa jinsi gharama zilivyo kuprint na kukodi space, nadhani gharama zake zinaweza jenga kituo cha afya maridadi kabisa..

Wengi wanauliza sababu ya kuweka mabango ni nini?

1.Je haaamini kwamba watanzania tunajua kazi ananzo fanya hadi atuwekee mabango.

2. Au ni kuwaambia wana ccm maendeleo yamefanyamika ili 2025 kusije tokea yasiyo tegemewa?

3. Au anajua hajafanya alivyo tarajia na anaona vingi havija fanyia, kwa hiyo walau maendeleo yaonekane kwenye mabango hata kama hayapo.

4. Serikali inafedha nyingi kiasi kwamba kero zote zimesha tatuliwa na kilicho baki ni kutumia fedha kwa jambo lolote.

5. Amegundua 2025 inaweza kuwa ngumu sana hasa ukizingatia mtangulizi wake alifanya mambo yakaonekana..

6. Labda anataka ampite jiwe kwa idadi kubwa ya maendeleo, maana kuna bango nimeona linasema mama kajenga vituo vya afya 1000, ambavyo hatujui vimejengwa wapi.. [emoji23][emoji23][emoji23]

Mungu ibariki Tanzania..

Mawaziri wangu naona hili nalo mkalitazame kwa jicho la kipekee..[emoji4]
WAJANJA WANAOYAANDAA HAYO MABANGO WANAPIGA PESA KISAWA SAWA TANZANIA SHAMBA LA BIBI NIKUPIGA PESA KAMA KICHAA
 
Naona hata nae saa nyingine akipita akiyasoma anabaki "anashanga". Maana anajua fika yanayosemwa hayapo. Ni janja tu ya watu waendelee kumghilibu ili wapige hela.

Kitengo cha watu hicho cha kupiga hela. Hadi mama amalize watakuwa matirionea. Na wanafanya kila pointi na kila mkoa. Hawaruki space.
 
Naona hata nae saa nyingine akipita akiyasoma anabaki "anashanga". Maana anajua fika yanayosemwa hayapo. Ni janja tu ya watu waendelee kumghilibu ili wapige hela.

Kitengo cha watu hicho cha kupiga hela. Hadi mama amalize watakuwa matirionea. Na wanafanya kila pointi na kila mkoa. Hawaruki space.
Kwa kweli ukisoma haya mabango utadhani anaye zungumzwa kwenye mabangi ni Rais wa Sweden, Kumbe hapa hapa bongo..[emoji23][emoji4]
 
Nilidhani ni Dar tuu, nimezunguka karibia mikoa yote, ni Mabango tuu ya Picha za Mama.

Kwa jinsi gharama zilivyo kuprint na kukodi space, nadhani gharama zake zinaweza jenga kituo cha afya maridadi kabisa..

Wengi wanauliza sababu ya kuweka mabango ni nini?

1.Je haaamini kwamba watanzania tunajua kazi ananzo fanya hadi atuwekee mabango.

2. Au ni kuwaambia wana ccm maendeleo yamefanyamika ili 2025 kusije tokea yasiyo tegemewa?

3. Au anajua hajafanya alivyo tarajia na anaona vingi havija fanyia, kwa hiyo walau maendeleo yaonekane kwenye mabango hata kama hayapo.

4. Serikali inafedha nyingi kiasi kwamba kero zote zimesha tatuliwa na kilicho baki ni kutumia fedha kwa jambo lolote.

5. Amegundua 2025 inaweza kuwa ngumu sana hasa ukizingatia mtangulizi wake alifanya mambo yakaonekana..

6. Labda anataka ampite jiwe kwa idadi kubwa ya maendeleo, maana kuna bango nimeona linasema mama kajenga vituo vya afya 1000, ambavyo hatujui vimejengwa wapi.. [emoji23][emoji23][emoji23]

Mungu ibariki Tanzania..

Mawaziri wangu naona hili nalo mkalitazame kwa jicho la kipekee..[emoji4]
Inatumika nguvu kubwa kumnadi wakati huohuo inatumika nguvu kubwa kupita kiasi kumdis hayati Magufuli,hapo chacha
 
Back
Top Bottom