Gharama ya kupata kibali cha ujenzi

Gharama ya kupata kibali cha ujenzi

tatizo ni kutaka shortcut ambayo huja kuwa longcut, fika halmashauri ya mji/wilaya au manispaa ukiwa na fomu zilizojazwa na majirani pamoja kuodhinishwa na viongozi wa mtaa/kijiji na kata (mwenyekiti, mtendaji wa mtaa/kijiji, na mtendaji kata) hapo utapewa control number ukilipia inabaki kupewa kibali cha ujenzi tu.
Wewe ni fala sana.

Unasema S/mtaa tuachane nao, hawatoi kibali.
Hapo hapo unasema lazima uwe na form imejazwa na majirani + S/mtaa.
Sasa hiyo form unaipata wapi? Na kumbe bado lazima upite S/mtaa tena ambapo unapakataa.
 
Any updates?????

Hauna picha ya mjengo uloshusha??

Nna ka million moko kananiwasha namie nataka kibanda simpo!!


Cc Smart911
 
Back
Top Bottom