Ukifuatilia hali ya siasa zETU UNAWEZA UKAKATA TAMAA YA KUISHI!Huwa najiuliza hivi Wazanzibar kumbe walichokuwa wanagombea ni madaraka kwa wachache tu! Hivi wale watu waliokufa wakifufuka leo !wakamkuta Kamanda wao aanasimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM watasema nini!
AU UCHAGUZI WA MWAKA 2015 cuf WATAKUWA WANANADI ILNI TENA !
Nafasi ya CUF kuwa chama cha upinzani cha kuaminika Tnzania bara iko wapi !Kuna kila dalili kuwa muungano unaaza kufa kifo cha polepole!
AU UCHAGUZI WA MWAKA 2015 cuf WATAKUWA WANANADI ILNI TENA !
Nafasi ya CUF kuwa chama cha upinzani cha kuaminika Tnzania bara iko wapi !Kuna kila dalili kuwa muungano unaaza kufa kifo cha polepole!