Jack HD
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 852
- 1,159
Wakuu habari za weeknd!!
Kama kichwa cha habari.kinavyoeleza, naomba kudeclare interest kwamba my dream nyumba ya ghorofa moja.
Na nimefikia kuchagua contemporary house maana nimesikia zinaunafuu kwenye suala la kuezeka paa hivyo kupunguza gharama za ujenzi.
Ukiwafuata hawa architure bei zao mara nyingi watakupa makisio ya square metre, kitu ambacho mara nyingi inaleta gharama kubwa ya kuogopesha. Japo hutofautiana kutoka eneo hadi eneo.
Nina eneo.la square metre elfu moja ambalo nataka kujenga dream house ya dizaini hiyo maeneo ya kigamboni, Dar Es Salaam. Atleast Nyumba ya Vyumba Vinne Minimum.
Mwenye uelewa na haya mambo ya makadirio ya ujenzi. Naomba msaada wa kujuzane ili tujipime kama tunaweza. Nategemea kujenga.kwa kutumia Mshahara, hivyo nitajenga polepole na kusimama huku nikivuta pumzi. Kwa kuwa nipo kwenye makazi.yangu binafsi, ninaweza kwenda polepole hata for 5 to 8 Years kulamilisha Hii dream house.
Naomba kuwasilisha kwa maelekezo kutoka kwenu wanajamvi.
View attachment 1786590
Kama kichwa cha habari.kinavyoeleza, naomba kudeclare interest kwamba my dream nyumba ya ghorofa moja.
Na nimefikia kuchagua contemporary house maana nimesikia zinaunafuu kwenye suala la kuezeka paa hivyo kupunguza gharama za ujenzi.
Ukiwafuata hawa architure bei zao mara nyingi watakupa makisio ya square metre, kitu ambacho mara nyingi inaleta gharama kubwa ya kuogopesha. Japo hutofautiana kutoka eneo hadi eneo.
Nina eneo.la square metre elfu moja ambalo nataka kujenga dream house ya dizaini hiyo maeneo ya kigamboni, Dar Es Salaam. Atleast Nyumba ya Vyumba Vinne Minimum.
Mwenye uelewa na haya mambo ya makadirio ya ujenzi. Naomba msaada wa kujuzane ili tujipime kama tunaweza. Nategemea kujenga.kwa kutumia Mshahara, hivyo nitajenga polepole na kusimama huku nikivuta pumzi. Kwa kuwa nipo kwenye makazi.yangu binafsi, ninaweza kwenda polepole hata for 5 to 8 Years kulamilisha Hii dream house.
Naomba kuwasilisha kwa maelekezo kutoka kwenu wanajamvi.
View attachment 1786590