washawashachiniyamuti
Senior Member
- May 9, 2018
- 139
- 109
Heshima wadau wa JF, Naomba kama kuna mtu anaweza kunipa mchanganuo wa green house ya bei nafuu ya mita 15 kwa 8 kwa Dar es Salaam.
Naomba kuwasilisha.
Naomba kuwasilisha.