Gharama nafuu za green house

Gharama nafuu za green house

washawashachiniyamuti

Senior Member
Joined
May 9, 2018
Posts
139
Reaction score
109
Heshima wadau wa JF, Naomba kama kuna mtu anaweza kunipa mchanganuo wa green house ya bei nafuu ya mita 15 kwa 8 kwa Dar es Salaam.
Naomba kuwasilisha.
 
ningekuwekea links za kutosha hapa zilizowahi kujadiliwa humu jf ila kwakua sisi tunaotumia browser na simu, kile kijisehemu cha search kipo kama disabled hivi yaani huwez sachi chochote na Maxence Melo hataki kushughulikia basi ngoja wataalamu waje wakusaidie
 
ningekuwekea links za kutosha hapa zilizowahi kujadiliwa humu jf ila kwakua sisi tunaotumia browser na simu, kile kijisehemu cha search kipo kama disabled hivi yaani huwez sachi chochote na Maxence Melo hataki kushughulikia basi ngoja wataalamu waje wakusaidie
Unatumia Chrome browser mkuu?
 
Well, kwa browser ya Chrome unaweza kusearch. Click the three dots upande wa juu kulia, then weka tick walipoandika "Desktop Site". Thereafter utakuwa na uwezo wa kusearch.
 

Attachments

  • Screenshot_20180810-130445.png
    Screenshot_20180810-130445.png
    20 KB · Views: 105

Similar Discussions

Back
Top Bottom