jaruri
JF-Expert Member
- Jul 16, 2014
- 717
- 459
Nimekaa nikatafakari kuhusu gharama ya sh 20,000/= wanayolipia wafanya biashara wadogo ambao mitaji yao Ni chini ya Shilingi milioni nne,naona haina uhalisia.
Wafanya biashara ambao mitaji yao ni chini ya milioni 4 Ni kundi kubwa mno ambalo linahitaji kuchanganuliwa zaidi,Kuna wenye mtaji ambao Ni chini ya 10,000/= hawa ukiwaambia walipie kitambulisho Cha 20000/= kwa mtazamo wangu naona Kama unawaumiza
Kungefanyika utafiti ili ikiwezekana kuwekwe matabaka zaidi katika kundi hili,Kama itabidi hili kundi la chini zaidi lishushiwe na wale wenye mtaji unaoridhisha kdg Basi wapandishiwe iwe hata 30000/= kwa mwaka ili kufidia gap hili.
Wafanya biashara ambao mitaji yao ni chini ya milioni 4 Ni kundi kubwa mno ambalo linahitaji kuchanganuliwa zaidi,Kuna wenye mtaji ambao Ni chini ya 10,000/= hawa ukiwaambia walipie kitambulisho Cha 20000/= kwa mtazamo wangu naona Kama unawaumiza
Kungefanyika utafiti ili ikiwezekana kuwekwe matabaka zaidi katika kundi hili,Kama itabidi hili kundi la chini zaidi lishushiwe na wale wenye mtaji unaoridhisha kdg Basi wapandishiwe iwe hata 30000/= kwa mwaka ili kufidia gap hili.