Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,216
- 7,907
Pamoja na kwamba Lowassa ni muhimu sana kuja UKAWA ili kuilaza chali CCM, lakin mtu mwingine ambaye ni sahihi, ambaye ataturahisishia hii kazi na kuifanya iwe nyepesi zaidi ni mh GHALIB BILAL.
Hii kete ni muhimu sana na ndio kingi!, Bilal aje UKAWA agombee urais huku mgombea mwenza wake akiwa Dr. Slaa yaani hapo nawaambieni CCM chali asubuhi tu.
Hii pia itapunguza ule wimbo wa fisadi ambao CCM wanauimba sasa ingawa sio inshu sana, na pia itatuhakikishia kura za Unguja make za Pemba tayari tunazo, na katika kampeni tutaonyesha tunaenzi muungano kwa vitendo huku tukiwarushia CCM makombora kwamba wanaenzi muungano kwa porojo.
Formula itakuwa hivi; DR SLAA kura za bara+DR BILAL kura za visiwani+LOWASSA kuzuia goli la mkono=USHINDI UKAWA
Hii kete ni muhimu sana na ndio kingi!, Bilal aje UKAWA agombee urais huku mgombea mwenza wake akiwa Dr. Slaa yaani hapo nawaambieni CCM chali asubuhi tu.
Hii pia itapunguza ule wimbo wa fisadi ambao CCM wanauimba sasa ingawa sio inshu sana, na pia itatuhakikishia kura za Unguja make za Pemba tayari tunazo, na katika kampeni tutaonyesha tunaenzi muungano kwa vitendo huku tukiwarushia CCM makombora kwamba wanaenzi muungano kwa porojo.
Formula itakuwa hivi; DR SLAA kura za bara+DR BILAL kura za visiwani+LOWASSA kuzuia goli la mkono=USHINDI UKAWA