Geti namba 5 kichaka ufisadi bandari

Geti namba 5 kichaka ufisadi bandari

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
15,263
Reaction score
25,535
Habari wadau.

Imefahamika jana kama siyo juzi kutokana na utumbuliwaji wa majipu ulioanzishwa na Rais Dr. JPM, hii ilinifanya nikumbuke wakati nilipotapeliwa kupitia geti hilo kama ifuatavyo.

Jamaa alikuja ofisini kwangu ma kudai ana computer zimekuja ila pesa za kugomboa toka bandarini zimepungua hivyo aliniomba niongozane naye mpaka bandarini na tulienda moja kwa moja mpaka geti no.5, ambapo kwa ufupi tuliingia ndani ila jamaa aliniacha na pesa yangu kiasi flani, alipokwenda kufanya clearly ya hizo computer.

Nilipowaambia wale askari wa bandari cha ajabu badala ya kunisaidia waliniambia pole ila mwenzako yule pale naye katapeliwa kama wewe!!.

Kwa hiyo hilo geti ilionekana ni kawaida ya uchafu mwingi kufanyika na kupitishiwa hapo.

Ni hatari sana.
 
Geti linahusikaje na kutapeliwa kwako yaani ushamba wako umsukumie mwingine.
 
Kweli vilaza wengi hii dunia na wewe Molembe humo, hata haujaelewa nn kimemaanishwa hapo au hauna vyanzo vngine vya habari na ndiyo maana ume_comment kama upo chooni. -Pole sana mwanangu!!.
 
Last edited by a moderator:
Geti no.5 ni njia tu ya kutokea na ndiyo iliyoidhinishwa kwa magari yote yaliyobeba makontena kutokea hapo.Jamani kama huielewi ramani ya bandari ni bora usipotoshe watu,container hazipiti geti 1 wala no.2 ni hivi karibuni wameanza kupitia no.4 kwa hiyo no.5 ni lango lililoidhinishwa kwa kutolea container bandarini hakuna namna
 
iNA MAANA MNAFAHAMIANA NA HUYO MTU. HAIWEZEKANI NIJE KWAKO NA STORI FUPI HIVYO UNIPE PESA HALAFU USEME BANDARI GETINI WAMENIIBIA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom