X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,605
- 1,843
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi:
SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako...
Boss akabaki anashangaa... Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.
Akarudi mpaka kwa secretary na mazungumzo yakaendelea:
BOSS: Bibie ulivyoona geti wazi je uliona benz langu lime paki au...?
SECRETARY: Hapana Boss niliona kitoroli kidogo kimepaki kina matairi mawili
SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako...
Boss akabaki anashangaa... Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.
Akarudi mpaka kwa secretary na mazungumzo yakaendelea:
BOSS: Bibie ulivyoona geti wazi je uliona benz langu lime paki au...?
SECRETARY: Hapana Boss niliona kitoroli kidogo kimepaki kina matairi mawili