Geti la Boss

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,610
1,809
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi:

SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako...

Boss akabaki anashangaa... Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.

Akarudi mpaka kwa secretary na mazungumzo yakaendelea:

BOSS: Bibie ulivyoona geti wazi je uliona benz langu lime paki au...?

SECRETARY: Hapana Boss niliona kitoroli kidogo kimepaki kina matairi mawili
 
BOSS: Bibie ulivyoona geti wazi je uliona benz langu lime paki au...?

SECRETARY: Hapana Boss niliona kitoroli kidogo kimepaki kina matairi mawili

HAhahahahaha Xpaster unaivunja mbavu sana!! unavichekesho vingi sana...asante
 
ningekua mimi bosi namlima barua ya kumtimua, yani anasema kaona 'toroli' badala ya 'benz', hii ni ZALAU na si dharau!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom