Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Mwali ni mtaalam wa kupika wali wa nazi........ hivi wali wakatishaga kiu?uwiii! embu funguka babu, kipi icho?? afu juzi si ulikuwa kwa mwali.... kiu haikukwisha enh??
Mwali ni mtaalam wa kupika wali wa nazi........ hivi wali wakatishaga kiu?uwiii! embu funguka babu, kipi icho?? afu juzi si ulikuwa kwa mwali.... kiu haikukwisha enh??
yah wali wakata kiu kama ulikuwa na kiu ya wali babu, enh kwan weye ulikuwa na kiu ya nn??Mwali ni mtaalam wa kupika wali wa nazi........ hivi wali wakatishaga kiu?
Ashukuriwe mungu kwa kukupa nafuu,There is so Much Missing.... So much Love in almost all the posts I have read.... Kuna nyingine zimenichekesha.... Sijacheka mda mrefu kwa kweli.... I needed it.... THANK U. I wish I could answer all the posts vile inavotakikana.... BUT I can not do that for I need Rest walau for a few days to come... and thus my inevitable absence.... Thanks for the Warm welcome. I will be looking forward to coming back asap. Niwatakie Mchana/Jioni Ama usiku Mwema..... Depending on the time zone mlizopo.
Pamoja Saana.
ADI.
There is so Much Missing.... So much Love in almost all the posts I have read.... Kuna nyingine zimenichekesha.... Sijacheka mda mrefu kwa kweli.... I needed it.... THANK U. I wish I could answer all the posts vile inavotakikana.... BUT I can not do that for I need Rest walau for a few days to come... and thus my inevitable absence.... Thanks for the Warm welcome. I will be looking forward to coming back asap. Niwatakie Mchana/Jioni Ama usiku Mwema..... Depending on the time zone mlizopo.
Pamoja Saana.
ADI.
Mie ODM niko salama, isipokuwa kiungo kimoja tu ndo chanipa tabu......... kina kiu sijapata ona!
Namshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema naendelea vizuri kiasi na leo hii nilikua discharged mapema kabisa. Naamini kwamba Mungu yu Mwema . Na naamini pia kua Dua na Maombi yenu in one way or another yamechangia mimi kufikia kujisikia nafuu kiasi hiki nilichopo na God willing nitazidi pata nafuu .. .
ODM, hata mimi mwenyewe utanipiga RIP kwa kutumia password yangu? :lol:Wale wapenzi wa uchakachuzi sasa wanaruhusiwa kuchakachua (Atakayechakachua kwa kuhusisha mambo ya mimba..... yaani be warned... Yaani nna pasiwedi ya MrusiR... mtarestishwa in piis bila warning)
Eti? Ebo! Welcome back my only darling shem!!! I and we Missed you mpaka baaaaaasi!
Habari yangu njema sana, mzima weye.. mbona hatutafutani?..habari yako mkuu. nmefurahi kukuona jf.
Kiu ya kiu, kwani we ako obsesd?yah wali wakata kiu kama ulikuwa na kiu ya wali babu, enh kwan weye ulikuwa na kiu ya nn??
Duh! Futi tisa au inch 9? Futi tisa hata punda haoni ndani...hahahaaa ... babu una kha'tri sana ... hebu refer to uzi wa leo wa mtambuzi ... nacho pia ni kiungo cha futi 9??
Gadem.... Ruhusa ya super mod ni amri kwa ODM.ODM, hata mimi mwenyewe utanipiga RIP kwa kutumia password yangu? :lol:
Thanks kwa kuruhusu rasmi uchakachuaji wa thread! let it beggin!
loh! babu kwani mimi sikukosoma ss, nilitaka tu unidadavulie ww lolz, sasa naona unamtumia third patry jaman mmh??Kiu ya kiu, kwani we ako obsesd?
Duh! Futi tisa au inch 9? Futi tisa hata punda haoni ndani...
BTT....... kiungo ukimaanishacho ndicho nlichokisemea.... sasa waweza mfafanulia obsesd hapo juu?
Gadem.... Ruhusa ya super mod ni amri kwa ODM.
Kunzia sasa atakayempa getwell soon ADI, namhamishia maradhi kwenye baioloji yake.... Utamtakiaje mtu ambaye ameshapona bana! Na haya maradhi yalomletea za kuleta nayazika kaburi moja na ibilisi..... Nyambaf sana haya magonjwa... shenzy zake sana haya maradhi..
loh! babu kwani mimi sikukosoma ss, nilitaka tu unidadavulie ww lolz, sasa naona unamtumia third patry jaman mmh??