Get well soon AshaDii

Status
Not open for further replies.
There is so Much Missing.... So much Love in almost all the posts I have read.... Kuna nyingine zimenichekesha.... Sijacheka mda mrefu kwa kweli.... I needed it.... THANK U. I wish I could answer all the posts vile inavotakikana.... BUT I can not do that for I need Rest walau for a few days to come... and thus my inevitable absence.... Thanks for the Warm welcome. I will be looking forward to coming back asap. Niwatakie Mchana/Jioni Ama usiku Mwema..... Depending on the time zone mlizopo.

Pamoja Saana.

ADI.
Ashukuriwe mungu kwa kukupa nafuu,
Tunafurahi kukuona tena our Big Sisy,
Tunakuombea mungu urejewe na nguvu na uzima wa kutosha kurudi kwenye majukumu yako ya kila siku,
We missed you!!
 
There is so Much Missing.... So much Love in almost all the posts I have read.... Kuna nyingine zimenichekesha.... Sijacheka mda mrefu kwa kweli.... I needed it.... THANK U. I wish I could answer all the posts vile inavotakikana.... BUT I can not do that for I need Rest walau for a few days to come... and thus my inevitable absence.... Thanks for the Warm welcome. I will be looking forward to coming back asap. Niwatakie Mchana/Jioni Ama usiku Mwema..... Depending on the time zone mlizopo.

Pamoja Saana.

ADI.

glad 2 know ur doin gr8t. pole sana & well com back pal!
 
Namshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema naendelea vizuri kiasi na leo hii nilikua discharged mapema kabisa. Naamini kwamba Mungu yu Mwema…. Na naamini pia kua Dua na Maombi yenu in one way or another yamechangia mimi kufikia kujisikia nafuu kiasi hiki nilichopo na God willing nitazidi pata nafuu….. .

Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema hasa kwa watu wema kama wewe!...Insha'Allah..kwa upendo wake utapona kabisa..
 
Wale wapenzi wa uchakachuzi sasa wanaruhusiwa kuchakachua (Atakayechakachua kwa kuhusisha mambo ya mimba..... yaani be warned... Yaani nna pasiwedi ya MrusiR... mtarestishwa in piis bila warning)
Eti? Ebo! Welcome back my only darling shem!!! I and we Missed you mpaka baaaaaasi!
ODM, hata mimi mwenyewe utanipiga RIP kwa kutumia password yangu? :lol:
Thanks kwa kuruhusu rasmi uchakachuaji wa thread! let it beggin!
 
yah wali wakata kiu kama ulikuwa na kiu ya wali babu, enh kwan weye ulikuwa na kiu ya nn??
Kiu ya kiu, kwani we ako obsesd?

hahahaaa ... babu una kha'tri sana ... hebu refer to uzi wa leo wa mtambuzi ... nacho pia ni kiungo cha futi 9??
Duh! Futi tisa au inch 9? Futi tisa hata punda haoni ndani...
BTT....... kiungo ukimaanishacho ndicho nlichokisemea.... sasa waweza mfafanulia obsesd hapo juu?

ODM, hata mimi mwenyewe utanipiga RIP kwa kutumia password yangu? :lol:
Thanks kwa kuruhusu rasmi uchakachuaji wa thread! let it beggin!
Gadem.... Ruhusa ya super mod ni amri kwa ODM.

Kunzia sasa atakayempa getwell soon ADI, namhamishia maradhi kwenye baioloji yake.... Utamtakiaje mtu ambaye ameshapona bana! Na haya maradhi yalomletea za kuleta nayazika kaburi moja na ibilisi..... Nyambaf sana haya magonjwa... shenzy zake sana haya maradhi..
 
Kiu ya kiu, kwani we ako obsesd?

Duh! Futi tisa au inch 9? Futi tisa hata punda haoni ndani...
BTT....... kiungo ukimaanishacho ndicho nlichokisemea.... sasa waweza mfafanulia obsesd hapo juu?

Gadem.... Ruhusa ya super mod ni amri kwa ODM.

Kunzia sasa atakayempa getwell soon ADI, namhamishia maradhi kwenye baioloji yake.... Utamtakiaje mtu ambaye ameshapona bana! Na haya maradhi yalomletea za kuleta nayazika kaburi moja na ibilisi..... Nyambaf sana haya magonjwa... shenzy zake sana haya maradhi..
loh! babu kwani mimi sikukosoma ss, nilitaka tu unidadavulie ww lolz, sasa naona unamtumia third patry jaman mmh??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom