Gesi ya Mtwara inatumika wapi?

Gesi ya Mtwara inatumika wapi?

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,743
Reaction score
6,236
Watu walipigwa huko mtwara kuhakikisha gesi inakuja dar, hata baada ya hapo

1. Umeme ulikua bado unasumbua
2. Bei ya gas majumbani haijashuka
3. Na bei ya umeme haijashuka, hata baada ya bwawa la Rufiji nalo kukamilika,.

Anaenufaika na hii gesi ni nani?
 
Watu walipigwa huko mtwara kuhakikisha gesi inakuja dar, hata baada ya hapo

1. Umeme ulikua bado unasumbua
2. Bei ya gas majumbani haijashuka
3. Na bei ya umeme haijashuka, hata baada ya bwawa la Rufiji nalo kukamilika,.

Anaenufaika na hii gesi ni nani?

Muulizeni jk si mnasema msafi kwa kuwa hayupo kwa sistemu? Anajua wabongo ni kama kuku tu, unampiga jiwe anavunjika mguu na kusogea mita 2 then anarudi tena ulipomvunjia mguu apate punje 2 za grain alizoziona kabla hujamvunja mguu anakuja akichechemea
 
We bado unaulizia ‘gas ya Mtwara’ tu, kwa madeni waliyokopa. Chawa wa ‘bi tozo’ sasa hivi wanaanda waraka wa kusifia PPP.

Sio muda mrefu utaona funfair ya utiaji sign Ikulu kwenye kuwakabidhi wazungu vitalu vyao rasmi na mapambio kibao mama ana vision.

Chezea siasa za Tanzania
 
Watu walipigwa huko mtwara kuhakikisha gesi inakuja dar, hata baada ya hapo

1. Umeme ulikua bado unasumbua
2. Bei ya gas majumbani haijashuka
3. Na bei ya umeme haijashuka, hata baada ya bwawa la Rufiji nalo kukamilika,.

Anaenufaika na hii gesi ni nani?
Ili umtawale mtu utakavyo anza na kumnyima huduma muhimu, then mtishie usalama wake
 
Watu walipigwa huko mtwara kuhakikisha gesi inakuja dar, hata baada ya hapo

1. Umeme ulikua bado unasumbua
2. Bei ya gas majumbani haijashuka
3. Na bei ya umeme haijashuka, hata baada ya bwawa la Rufiji nalo kukamilika,.

Anaenufaika na hii gesi ni nani?
Gesi ya Mtwara inatumika kuzalisha umeme na viwandani
 
Muulizeni jk si mnasema msafi kwa kuwa hayupo kwa sistemu? Anajua wabongo ni kama kuku tu, unampiga jiwe anavunjika mguu na kusogea mita 2 then anarudi tena ulipomvunjia mguu apate punje 2 za grain alizoziona kabla hujamvunja mguu anakuja akichechemea
Sema huyu janja sijawahi muelewa kabisa, sio yeye tu familia yake mzima.Namuaonaga janja janja sana. Sema anajua kucheza na akili za watu.
 
Watu walipigwa wakaumizwa mwisho wa siku waliopigwa walikua sahihi gas wanamtandao walipitina nayo hii nchi ina watu wezi sana wa kunyongwa ni kiwa Rais nitachonga watu wengi sana
 
Nchi hii hua na ahadi nyingi sana
 
Inatumika kwa matumizi ya nyumbani (kupikia) wamepitisha mabomba baadhi ya maeneo hasa ushuani kama vile chuo kikuu kwenye makazi ya walimu na watumishi mitaa ya Mikocheni pia na Masaki halafu ni bei rahisi zaidi kuliko hizi tunazotumia. Kwa mwezi unaweza lipa labda 15,000/- tu au hata ungufu maana wanaweka mita za kusoma matumizi wahuni hawataki wananchi wapate nafuu ya maisha.
 
Back
Top Bottom