sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,743
- 6,236
Watu walipigwa huko mtwara kuhakikisha gesi inakuja dar, hata baada ya hapo
1. Umeme ulikua bado unasumbua
2. Bei ya gas majumbani haijashuka
3. Na bei ya umeme haijashuka, hata baada ya bwawa la Rufiji nalo kukamilika,.
Anaenufaika na hii gesi ni nani?
1. Umeme ulikua bado unasumbua
2. Bei ya gas majumbani haijashuka
3. Na bei ya umeme haijashuka, hata baada ya bwawa la Rufiji nalo kukamilika,.
Anaenufaika na hii gesi ni nani?