Ukiangalia kwa jicho la tatu ni kama serikali imeshindwa kwenye sekta ya uchumi, maana karibu kila mipango inayoanzisha ina feli, mfano wa karibu ni sera ya viwanda ni kama imekufa.
Kwangu mimi labda kitu tangible ambacho serikali inaweza kujivunia na ambacho kinaonekana wazi ni ujenzi wa SGR, ingawa huwezi kujua madudu ya ndani, ujenzi huu ukimalizika kwa ufanisi utasaidia sana kuinua uchumi wa nchi na wa wananchi wa hali ya chini.
Pamoja na ujenzi wa Stieglas Gorge kuanza lkn bado nina wasi wasi kama utakuwa sustainable, kwa sababu ni mradi unaotegemea majira, ni old fashioned technology.
Hii miradi ni mikubwa inatumia reserve yetu na kuongeza deni la taifa, kwahiyo Serikali haina budi kubuni miradi simple ambayo utekelezaji wake unaendana kulingana na uwezo wetu na siyo kila kitu kuiga kwa majirani, Ethiopia wakijenga bwawa na sisi tujenge, Rwanda wakinunua ndege na sisi tunanunua bila mpango stahiki, huwezi kujua wenzetu walijiandaa kwa muda gani kutekeleza miradi yao.
Kwangu mimi labda kitu tangible ambacho serikali inaweza kujivunia na ambacho kinaonekana wazi ni ujenzi wa SGR, ingawa huwezi kujua madudu ya ndani, ujenzi huu ukimalizika kwa ufanisi utasaidia sana kuinua uchumi wa nchi na wa wananchi wa hali ya chini.
Pamoja na ujenzi wa Stieglas Gorge kuanza lkn bado nina wasi wasi kama utakuwa sustainable, kwa sababu ni mradi unaotegemea majira, ni old fashioned technology.
Hii miradi ni mikubwa inatumia reserve yetu na kuongeza deni la taifa, kwahiyo Serikali haina budi kubuni miradi simple ambayo utekelezaji wake unaendana kulingana na uwezo wetu na siyo kila kitu kuiga kwa majirani, Ethiopia wakijenga bwawa na sisi tujenge, Rwanda wakinunua ndege na sisi tunanunua bila mpango stahiki, huwezi kujua wenzetu walijiandaa kwa muda gani kutekeleza miradi yao.