Hashimu lwenje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 415
- 359
Kwanini Gesi inayo zalishwa Tanzania kwasasa isitumike kwenye Magari ??,
Tanzania tukiamu kwenye hili tutajigemea kwa kiasi kikubwa katika nishati ya usafirishaji (Transportation fuel).
Kwasasa Tanzania tuna magari yanayo kadiriwa kama 700,000 yaliyo sajiliwa kuanzia mwaka 2004 hadi 2014 ambapo asilimia sitini (60) ya hayo magari yanatumia mafuta ya Petroli au Gasolini.
Ambapo magari haya yanayotumia Petroli ndio yanaweza kubadilishwa kiurahisi ili yatumie gesi asilia iliyogandamizwa (CNG=Compressed Natural Gas). Yapo magari machache ambayo tiari yamebadirishwa na yanatumia gesi asilia iliyogandamizwa hapa Tanzania.
Zipo nchi nyingi zilizo na Gesi asilia mpaka sasa ambazo asilimia kubwa ya magari yao yanatumia gesi asilia.
Mimi hua nasema siku zote kuwa nchi inayo jitegemea kwenye swala la nishati ndio nchi tajiri. Hatuna haja ya kuendelea kutegemea Petroli kutoka nchi za nje wakati tunayo gesi ambayo inaweza kubadirishwa ili itumike kwenye magari. Mimi najua tukiamua tunao uwezo wa kujitegemea kwenye nishati ya usafirishaji (transportation fueli).
Hizi ni faida tutakazo zipata endapo kama tutatumia gesi asilia iliyo gandamizwa kwenye magari (CNG= Compressed Natural Gas)
Kwanza tutajijengea uwezo wa kujitegemea katika nishati ya mafuta ya petroli, ambapo kama huko mbele litatokea tatizo lolote la kukosekana kwa nishati ya petroli au bei kupanda sana hatuta athiliwa.
Pili tutaingiza kipato kikubwa kwa taifa letu, kwa makusanyo ya Kodi na kwa kuwauzia wananchi wetu gesi yetu ambao ni wengi kwasababu magari yanayo tumia Petroli mengi.
Tatu tutapata wateja wa gesi yetu kiurahisi tu kwa kujiuzia gesi sisi wenyewe. Ambapo magari tiari tunayo ya kutosha yataitumia gesi hiyo.
Nne tutatengeneza fursa nyingi za ajira katika nchi yetu.
Hizi ni baazi ya nchi na mabara yanatumia gesi asilia iliyo gandamizwa kwenye magari ni Iran, Pakistan , Maeneo pasifiki uko Asia, India, Amerika ya Kusini, Ulaya na Amerika ya kaskazini.
Tanzania tukiamu kwenye hili tutajigemea kwa kiasi kikubwa katika nishati ya usafirishaji (Transportation fuel).
Kwasasa Tanzania tuna magari yanayo kadiriwa kama 700,000 yaliyo sajiliwa kuanzia mwaka 2004 hadi 2014 ambapo asilimia sitini (60) ya hayo magari yanatumia mafuta ya Petroli au Gasolini.
Ambapo magari haya yanayotumia Petroli ndio yanaweza kubadilishwa kiurahisi ili yatumie gesi asilia iliyogandamizwa (CNG=Compressed Natural Gas). Yapo magari machache ambayo tiari yamebadirishwa na yanatumia gesi asilia iliyogandamizwa hapa Tanzania.
Zipo nchi nyingi zilizo na Gesi asilia mpaka sasa ambazo asilimia kubwa ya magari yao yanatumia gesi asilia.
Mimi hua nasema siku zote kuwa nchi inayo jitegemea kwenye swala la nishati ndio nchi tajiri. Hatuna haja ya kuendelea kutegemea Petroli kutoka nchi za nje wakati tunayo gesi ambayo inaweza kubadirishwa ili itumike kwenye magari. Mimi najua tukiamua tunao uwezo wa kujitegemea kwenye nishati ya usafirishaji (transportation fueli).
Hizi ni faida tutakazo zipata endapo kama tutatumia gesi asilia iliyo gandamizwa kwenye magari (CNG= Compressed Natural Gas)
Kwanza tutajijengea uwezo wa kujitegemea katika nishati ya mafuta ya petroli, ambapo kama huko mbele litatokea tatizo lolote la kukosekana kwa nishati ya petroli au bei kupanda sana hatuta athiliwa.
Pili tutaingiza kipato kikubwa kwa taifa letu, kwa makusanyo ya Kodi na kwa kuwauzia wananchi wetu gesi yetu ambao ni wengi kwasababu magari yanayo tumia Petroli mengi.
Tatu tutapata wateja wa gesi yetu kiurahisi tu kwa kujiuzia gesi sisi wenyewe. Ambapo magari tiari tunayo ya kutosha yataitumia gesi hiyo.
Nne tutatengeneza fursa nyingi za ajira katika nchi yetu.
Hizi ni baazi ya nchi na mabara yanatumia gesi asilia iliyo gandamizwa kwenye magari ni Iran, Pakistan , Maeneo pasifiki uko Asia, India, Amerika ya Kusini, Ulaya na Amerika ya kaskazini.