Gerson Msigwa na Rangi za Bendera ya Taifa

Stream line

JF-Expert Member
Apr 22, 2015
393
239
Msigwa naamini ww ni mwandishi toka Tanzania. Naamini umesomea nchini Tanzania. Naamini pia ili uwe mwandishi ni vema ukaijua historia ya nchi yako. Mm nakutuma hapo ikulu ingia maktaba hapo ikulu tafuta RANGI HALISI ZA BENDERA YETU YA TAIFA. hii ni kuanzia 1964/01/12 hadi tarehe 25/10/1985. Kisha uwashauri watendaji wa serikali wanaoshughulikia kitengo cha bendera ya Taifa kuwa makini. Ktk kipindi cha rais mstaafu J.Kikwete tumeanza kushuhudia rangi ya mgomba mchanga (apple green) na blue mpauko zikitumika ktk bendera yetu. Hilo ni kosa kubwa. Rangi za bendera yetu ni kichaniwiti (deep green) na bluu (navy blue). Tafadhali saidia. Hata vitabu vya zamani vya serikali vina ile ngao. Hapo utaona rangi halisi.

Asante.
 
Jitokezeni kwa wingi kesho pale Ubungo mshiriki ktk uwekaji wa jiwe la msingi barabara za juu....Rais atakuwepo na RC Makonda....mliommisi RC mtamuona...naona mnampenda sana
 
Tunatafutanjiaa ya kumuokoa makonda Hayo mengine upuuzi

Akili zetu si mnato hata kidogo. Naangaikia Rc kiongozi wa kisiasa inisaidie nini naye yu kwake katulia. Si ninyi mliomtukana rais alopita kuwa yu dhaifu? Na si ninyi mnao mlilia leo? Akili mnato si kitu chema maishani. Mnapiga kelel Rc anasonga mbele.
 
Yaliyomkuta Mkurugenzi wa Jiji la Dar Es salaam kwny uzinduzi wa Daraja la Kigamboni huenda yakamkumba Mshauri alieshauri Yule Mkurugenzi adhalilishwe.

Huyu Mtoto wa Kisukuma alikuwa hajui kuwa kuna Watu mpaka Mimba zao zilitungiwa Dar Es salaam na mpaka kuzeeka wanazeekea Dar lakini Wako Kimya hapa Mjini yeye kavamia Jiji kwa kutanguliza Libashite lake ajiandae sasa !
 
Msigwa kumbe anaandaa bendera na sio usemaji kurugenzi ya raisi... Eh!
Akili mnato hizo. Mimi nimemtuma yy. Ulitaka nikutume ww ili hali hata lango la ikulu hujui lilipo? Mr. Msigwa ikulu ni pake. Utamtuma shamba boy chapati jikoni badala ya house girl. Ok, nimefanya hivyo baada ya kuona hata wikipedia wametuwekea bendera ya mchina kama bendera yetu otigino ya Taifa.
 
Back
Top Bottom