Kama ya baba JElimu ya hapa na pale
Kama ya baba JElimu ya hapa na pale
Tatizo kajizoeza kutumia spelling suggestions za kwenye androidHivi wakuu, huyu Greyson Msigwa ataacha lini kuandika haya makosa katika taarifa nyeti kama hizi kutoka ikulu?
Je, katika kiswahili kuna Major Jenerali?
Siyo Meja Jenerali?
Tena cha kushangaza, hiyo Major Jenerali ameirudia zaid ya mara moja.
Inasikitisha sana mtu unaandika page moja na unashindwa kuihariri.
Na siyo katika hili tu, Msigwa amekua akifanya makosa mengi sana ktk taarifa mbali mbali nyeti kutoka ikulu.
Naombeni kujua kiwango chake cha elimu
Pengine hana weledi wa haya mambo
Kwani hajaandika hivo auChuki binafsi izl
Mwambie huyo haterKuchanganya lugha sidhani kama ni makosa kwani Kiswahili kina upungufu mkubwa wa maneno. Maneno mengi tuyatumiayo kwenye Kiswahili ni ya lugha ya Kiarabu. Kuandika Major badala ya Meja sidhani kama ni kosa linalobadili maan kusudiwa!
ALIPASWA KUMSAHIHISHA KWA LUGHA YA KIUUNGWANA . HOJA YAKE INAGEUKA KUWA CHUKI PALE ANAPOKOSOA KWA KUTUMIA LUGHA YA MISULI MINGI ILIHALI JAMBO ALILOLILETA LILIHITAJI UUNGWANA ZAIDI YA UKOSOAJI, NAAMINI UMEMSAIDIA KWA MITHALI ILE."......HAONI KUNDULE"Acha chuki binafsi wewe...we mbna unachanganya ngeli na kiswahili?
Page ndo nini?
Kilichokushnda kusema kurasa ni nini? Ama ili tukuone we msomi sio?
Ok tuanze na wewe...tuambie NGUMBARO ulimaliza lini?
kukosea kupo kweli na tunafahamu hilo. ila anatakiwa ajirekebishe. mbona umepaikiKukosea kupo tu...acheni wivu sema mnaitaka nafasi iyo ndo mana. Hatumbuliwi
Sijapaniki naona mnalete majungu..jamaa yupo makini sana...kukosea kupo kweli na tunafahamu hilo. ila anatakiwa ajirekebishe. mbona umepaiki
kwahiyo wewe unataka sibadiliki au unataka abadilike?Sijapaniki naona mnalete majungu..jamaa yupo makini sana...
Huezi kumjaji eti kisa kaandika "major" badala ya "meja"
Makosa ndiyo yapo, ila kazidi kwa makosa. Hivi umakini unskosekana vipi kwa taarifa nyeti km hizi?Kuchanganya lugha sidhani kama ni makosa kwani Kiswahili kina upungufu mkubwa wa maneno. Maneno mengi tuyatumiayo kwenye Kiswahili ni ya lugha ya Kiarabu. Kuandika Major badala ya Meja sidhani kama ni kosa linalobadili maan kusudiwa!
Umakini unahitajika ktk taarifa hizi nyeti kutoka ikuluSijapaniki naona mnalete majungu..jamaa yupo makini sana...
Huezi kumjaji eti kisa kaandika "major" badala ya "meja"
Huyu analipwa zaid ya laki tano?Haaa sikuona vema...huuu uzinguaji...anachanganya kipande kimoja kiingereza na kipande cha pili kiswahili....ukosefu wa umakini hapa ni "YOUR FIRED"
mahelaa sijui ngapiHuyu analipwa zaid ya laki tano?
Kama analipwa zaid ya milioni, huu ni ufujajimahelaa sijui ngapi