Gerson Msigwa na makosa ya kiuandishi katika taarifa zitokazo Ikulu

gasto genaro

JF-Expert Member
Oct 15, 2014
780
554
Hivi wakuu, huyu Greyson Msigwa ataacha lini kuandika haya makosa katika taarifa nyeti kama hizi kutoka ikulu?

f936b50783be5581abe437fa6059edfe.jpg


Je, katika kiswahili kuna Major Jenerali?

Siyo Meja Jenerali?

Tena cha kushangaza, hiyo Major Jenerali ameirudia zaid ya mara moja.

Inasikitisha sana mtu unaandika page moja na unashindwa kuihariri.

Na siyo katika hili tu, Msigwa amekua akifanya makosa mengi sana ktk taarifa mbali mbali nyeti kutoka ikulu.

Naombeni kujua kiwango chake cha elimu

Pengine hana weledi wa haya mambo
 
Hivi wakuu, huyu Greyson Msigwa ataacha lini kuandika haya makosa katika taarifa nyeti kama hizi kutoka ikulu?




f936b50783be5581abe437fa6059edfe.jpg


Je, katika kiswahili kuna Major Jenerali?

Siyo Meja Jenerali?

Tena cha kushangaza, hiyo Major Jenerali ameirudia zaid ya mara moja.

Inasikitisha sana mtu unaandika page moja na unashindwa kuihariri.

Na siyo katika hili tu, Msigwa amekua akifanya makosa mengi sana ktk taarifa mbali mbali nyeti kutoka ikulu.

Naombeni kujua kiwango chake cha elimu

Pengine hana weledi wa haya mambo
 
Ni kosa la bahati mbaya. KIWANGO CHA ELIMU si kigezo cha kukosea au la japo ni kweli angepitia tena na tena waraka kabla ya kuipitisha na kusambaza.
 
Acha chuki binafsi wewe...we mbna unachanganya ngeli na kiswahili?
Page ndo nini?
Kilichokushnda kusema kurasa ni nini? Ama ili tukuone we msomi sio?
Ok tuanze na wewe...tuambie NGUMBARO ulimaliza lini?
wewe utakua unategemea mwisho wa mwezi akutumie hela ya kununulia unga uliopanda bei. sasa unaoona kukosolewa kwake kunaweza kumtemesha ugali; kisha na ww ukaanza kuisoma namba kwa kulia njaa.

kama anakosea mara kwa mara, inabidi akosolewe ili kuepusha hii aibu ya kujirudiarudia. tumasamehe na tuseme kua hajakosea kwasasa. il akiendelea kukoseakosea, hapo atakua kajidhihirisha kua kazi ile haiwezi.

mpe taarifa ugali usimponyoke, ukakuponyoka na wewe pia!!!
 
wewe utakua unategemea mwisho wa mwezi akutumie hela ya kununulia unga uliopanda bei. sasa unaoona kukosolewa kwake kunaweza kumtemesha ugali; kisha na ww ukaanza kuisoma namba kwa kulia njaa.

kama anakosea mara kwa mara, inabidi akosolewe ili kuepusha hii aibu ya kujirudiarudia. tumasamehe na tuseme kua hajakosea kwasasa. il akiendelea kukoseakosea, hapo atakua kajidhihirisha kua kazi ile haiwezi.

mpe taarifa ugali usimponyoke, ukakuponyoka na wewe pia!!!
Mtumie mama ako ela ya unga aliyeko kijijini huko kuna njaa.
Kukosea kupo tu...acheni wivu sema mnaitaka nafasi iyo ndo mana. Hatumbuliwi
 
Huko kwenye lugha iliyoretwa na merikebu sikujui ila napata shaka ni James M Mwakibolwa au James A Mwakibolwa?


Wanaomfahamu huyu mtu watueleze.
 
Hivi wakuu, huyu Greyson Msigwa ataacha lini kuandika haya makosa katika taarifa nyeti kama hizi kutoka ikulu?

f936b50783be5581abe437fa6059edfe.jpg


Je, katika kiswahili kuna Major Jenerali?

Siyo Meja Jenerali?

Tena cha kushangaza, hiyo Major Jenerali ameirudia zaid ya mara moja.

Inasikitisha sana mtu unaandika page moja na unashindwa kuihariri.

Na siyo katika hili tu, Msigwa amekua akifanya makosa mengi sana ktk taarifa mbali mbali nyeti kutoka ikulu.

Naombeni kujua kiwango chake cha elimu

Pengine hana weledi wa haya mambo
Kuchanganya lugha sidhani kama ni makosa kwani Kiswahili kina upungufu mkubwa wa maneno. Maneno mengi tuyatumiayo kwenye Kiswahili ni ya lugha ya Kiarabu. Kuandika Major badala ya Meja sidhani kama ni kosa linalobadili maan kusudiwa!
 
Back
Top Bottom