Gerald Hando: Lissu ameendelea kumtukana Mbowe

Gerald Hando: Lissu ameendelea kumtukana Mbowe

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,251
Reaction score
4,539

View: https://www.instagram.com/reel/DIBH73iuz8Y/?igsh=bHV3ZXhqMDU5czRx

Gerald Hando ametafsiri maneno ya Lissu kuwa no reform no election ilikuwa ni chambo ya kuongezewa dau kama matusi kwa Freeman Mbowe.

Hando anasema Lissu anamaanisha kuwa Mbowe alikuwa anafanya biashara ya kisiasa kuanzisha movements kisha watu wa mamlaka wanamuita kufanya bargaining.

Binafsi najiuliza, Kama Lissu anaendelea kumtukana Mbowe ni lini atamuacha huyu mzee wa watu apumzike.
 
Acheni propaganda za kijinga hizi.Hando ni kada wa ccm ,anafanya kazi kwa maslahi ya ccm.Kati ya mambo yote mazuri aliyoeleza Lissu ,Hando hakuyasikia.Masikio yalikuwa yanasikiliza sauti za kutoka kichwani mwake kuwa kuna ugomvi kati ya Mbowe na Lissu.Hakuna mahali Lissu amemtukana.
 
Mzee mbowe kashapumzikaa yy ,sema tu n vilee wanamletea shobo na yy ataki shobo ndio maana katulia zake yupo ofcn kwake anaendelezea biashara zakeee Tena Kwa utulivuuu...c mlionaa anafaidi hyo nafac ?? Ss kawapisha kwann Tena mnamwandamaa??
 

View: https://www.instagram.com/reel/DIBH73iuz8Y/?igsh=bHV3ZXhqMDU5czRx

Gerald Hando ametafsiri maneno ya Lissu kuwa no reform no election ilikuwa ni chambo ya kuongezewa dau kama matusi kwa Freeman Mbowe.

Hando anasema Lissu anamaanisha kuwa Mbowe alikuwa anafanya biashara ya kisiasa kuanzisha movements kisha watu wa mamlaka wanamuita kufanya bargaining.

Binafsi najiuliza, Kama Lissu anaendelea kumtukana Mbowe ni lini atamuacha huyu mzee wa watu apumzike.

Huyo chawa na mlevi mbwa hiyo ni tafsiri yake lakini Lissu hakumlenga Mbowe.
 

View: https://www.instagram.com/reel/DIBH73iuz8Y/?igsh=bHV3ZXhqMDU5czRx

Gerald Hando ametafsiri maneno ya Lissu kuwa no reform no election ilikuwa ni chambo ya kuongezewa dau kama matusi kwa Freeman Mbowe.

Hando anasema Lissu anamaanisha kuwa Mbowe alikuwa anafanya biashara ya kisiasa kuanzisha movements kisha watu wa mamlaka wanamuita kufanya bargaining.

Binafsi najiuliza, Kama Lissu anaendelea kumtukana Mbowe ni lini atamuacha huyu mzee wa watu apumzike.

Apumzike kwani amestaafu siasa?
 

View: https://www.instagram.com/reel/DIBH73iuz8Y/?igsh=bHV3ZXhqMDU5czRx

Gerald Hando ametafsiri maneno ya Lissu kuwa no reform no election ilikuwa ni chambo ya kuongezewa dau kama matusi kwa Freeman Mbowe.

Hando anasema Lissu anamaanisha kuwa Mbowe alikuwa anafanya biashara ya kisiasa kuanzisha movements kisha watu wa mamlaka wanamuita kufanya bargaining.

Binafsi najiuliza, Kama Lissu anaendelea kumtukana Mbowe ni lini atamuacha huyu mzee wa watu apumzike.

Mwambieni akasome waraka wa "Waheshimiwa 55" atapata jibu
 
Acheni propaganda za kijinga hizi.Hando ni kada wa ccm ,anafanya kazi kwa maslahi ya ccm.Kati ya mambo yote mazuri aliyoeleza Lissu ,Hando hakuyasikia.Masikio yalikuwa yanasikiliza sauti za kutoka kichwani mwake kuwa kuna ugomvi kati ya Mbowe na Lissu.Hakuna mahali Lissu amemtukana.
Hawa jamaa ,wakiongozwa na Kitenge ,kipindi chao kina umbea sana, hawa ukijichanganya wanaweza kukusuta kwa vidole kabisa ,kitu ambacho sio sawa kufanywa na mwanaume
 
Hivi ukiwa Cd mshahara bei gani?
Mbona watu wanautafuta kwa nguvu sana?
 
inawezekana ,kwasababu enzi za mwenyekiti mbowe palikuwa na utaratibu wa kamati kuu kuja na kauli ,mwisho wa siku kila kitu kinafanywa
 

View: https://www.instagram.com/reel/DIBH73iuz8Y/?igsh=bHV3ZXhqMDU5czRx

Gerald Hando ametafsiri maneno ya Lissu kuwa no reform no election ilikuwa ni chambo ya kuongezewa dau kama matusi kwa Freeman Mbowe.

Hando anasema Lissu anamaanisha kuwa Mbowe alikuwa anafanya biashara ya kisiasa kuanzisha movements kisha watu wa mamlaka wanamuita kufanya bargaining.

Binafsi najiuliza, Kama Lissu anaendelea kumtukana Mbowe ni lini atamuacha huyu mzee wa watu apumzike.

Cha ajabu wala rushwa bado anao ame wakumbatia
 

View: https://www.instagram.com/reel/DIBH73iuz8Y/?igsh=bHV3ZXhqMDU5czRx

Gerald Hando ametafsiri maneno ya Lissu kuwa no reform no election ilikuwa ni chambo ya kuongezewa dau kama matusi kwa Freeman Mbowe.

Hando anasema Lissu anamaanisha kuwa Mbowe alikuwa anafanya biashara ya kisiasa kuanzisha movements kisha watu wa mamlaka wanamuita kufanya bargaining.

Binafsi najiuliza, Kama Lissu anaendelea kumtukana Mbowe ni lini atamuacha huyu mzee wa watu apumzike.

Geraldine yule shoga mkatikia wanaume wenzie au yupi?
 
Back
Top Bottom