Nimesikia katika matangazo ya kuwa, GEPF ni mfuko wa watumishi Serikalini. Napata hofu na 'WAFANYAKAZI SERIKALINI'; kwani katika matangazo wanataka hata mama ntilie, wafanya biashara ndogo ndogo n.k waweke akiba. Swali; je hao ni watumishi serikalini? Nahisi isije ikawa usanii na utapeli kama ule wa NICOL......