mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,102
- 36,076
Usijali mkuu nHao wengine kwenye picha ni wakina nani. Kama una visa na Mikasa ya hawa jamaa naomba utuporomoshee. Maneti, Kingki, Kasaloo, Kanga, Makassy, Remmy nk
Nitakuletea story ya maneti,binti yake anaitwa komweta yuko south sasa hivi alijaribu kufuata nyayo za baba yake ila kaacha kuimba ,mbaya maneti,marijani ,mbaraka hawa wote walikufa wakiwa vijana sana,makasi na remmy story zao zinaendana,kasaloo kyanga na kyanga songa pia zinaendana hawa ni mapacha walianzia tancut almas ya iringa wakiwa na john kitime.ngoja nianze na ya remmy na makasi leo jioniHao wengine kwenye picha ni wakina nani. Kama una visa na Mikasa ya hawa jamaa naomba utuporomoshee. Maneti, Kingki, Kasaloo, Kanga, Makassy, Remmy nk