George Marato wa ITV anaswa na TAKUKURU Mara

Chukwu emeka

JF-Expert Member
Jan 12, 2018
23,410
36,560
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Mara imemfikisha mahakamani mwandishi wa habari mwandamizi wa ITV, George Marato kwa tuhuma za kuomba rushwa TZS 3 milioni kutoka kwa mfanyabiashara.
1141799
1141801
 
Anahusika na nini kwa wafanyabiashara kutaka pesa yote hiyo!!? Si presentor huyu!!? Ama muajiriwa wa mapato!!? ITV mna kitengo cha mapato kwa wafanyabiashara
Una umri gani?
 
Anahusika na nini kwa wafanyabiashara kutaka pesa yote hiyo!!? Si presentor huyu!!? Ama muajiriwa wa mapato!!? ITV mna kitengo cha mapato kwa wafanyabiashara
Mkuu hawa Waandishi ukitaka jambo lako liende hewani bila kuwapoza wanakukaushia,japo mara nyingi ni kwa wanasiasa, hili la mfanyabiashara ngoja tusubilie nn kilitokea
 
Back
Top Bottom